AFYA Kwanza
Professional♾️StemCell Technology.
📚Elimu na Uelewa Wa Afya na Fursa
🌍Revoobit International LTD
📩Karibu kwa Mawasiliano zaidi
+255 748 280 549
23/07/2026
22/07/2026
06/07/2026
Baadhi ya Wageni mbalimbali walioshiriki katika Mkutano wa Lunch Meeting and Knowledge Talk kwenye Ofisi za Revoobit TB Magomeni Mwembechai kwa ajili ya kujadili namna gani wanaweza kubadilisha maisha yao kupitia fursa za biashara na fursa zinazowangukuza leo.
Ikumbukwe mkutano huo ulikuwa ni wa hadhi ya VIP na unategemewa kufanyika Kila JumaMosi katika Ofisi za Revoobit ambapo mengi utajifunza kuhusu biashara na fursa kedekede...
26/06/2026
MIRA-CELL+
Hii ni kirutubisho cha afya kinasaidia urejeshaji wa seli
za mwili na kuboresha afya kwa ujumla.
Miira-Cell+ Hiki ni kirutubisho cha asili
kilichotengenezwa kwa kutumia viambato vya mimea vinavyosaidia mwili kujirekebisha na kupambana na
magonjwa. Kinajulikana kwa kusaidia katika matengenezo ya seli, kupunguza uchovu, na kuimarisha kinga ya mwili.
cell+
L Faida za Miira-Cell+.
1. Hurejesha seli zilizoharibika kwa kutumia teknolojia
ya stem cell ya mimea
2. Hupunguza msongo wa oksidishaji (oxidative stress)
unaosababisha kuzeeka kwa haraka.
3. Huimarisha kinga ya mwili dhidi ya maambukizi na
magonjwa sugu.
4. Husaidia afya ya moyo, ini, figo na mfumo wa fahamu
Viambato vya asili
Ina zaidi ya viambato 13 vya mimea vilivyothibitishwa
kisayansi, vikiwemo antioxidants, vitamini, na virutubisho vya kurejesha seli.
26/06/2026
Miira Life.
Hii ni bidhaa ya Virutubisho ambayo ina faiada
Birg
mbalimbali ndanilyamwili wa Mwanadamu ikiwemo col
1. Kusaidia kupunguza Uchovu wa kupumua na kulinda
mapafu dhidi ya Sumu.
2. Inasaidia Moyo na mzunguko wa damu, huboresha mzunguko wa damu na kusaidia kudhibiti shinikizo la damu.
3. Uimarisha mifupa, kwasababu ina virutubisho vinavyoasaidia uimara wa mifupa na Viungo.
26/06/2026
Miira cell 📍
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam