Hg jhtjknf

Hg jhtjknf

Share

Football and other social media

19/07/2026

Deal done

18/07/2026

Ukikosa akili jitahidi saana uwe na aibu maana confidence na ujinga haviendani 🙌.@

03/06/2026

Éderson is officially Manchester United’s first signing of the summer🔴

The Brazilian midfielder arrives after an impressive spell at Atalanta, bringing energy, strength, and quality to United’s midfield. A major statement from Michael Carrick as he begins building his squad for the new season.

✍🏻✍🏻✍🏻

25/05/2026

🚨BREAKINGNEW:-

Taarifa ziwafikie Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha Usajili wa kiungo wa Azam fc James Akaminko.

Akaminko amekubali Ofa Ya Yanga na muda wowote kutoka sasa atajiunga na timu ya WANANCHI Yanga

24/05/2026

Kuna muda utatembea pekeako kwenye safari ya maisha pale watu uliowaamini watapokuacha katikati ya njia.Usihuzunike sana maana sio kila alieanza na wewe ameandikiwa kumaliza na wewe ,wengine huja km somo na wengine huja km baraka.
Kuna muda utachoka kupambana nakuona km jitihada zako hazina maana,lkn ukweli ni kwamba hakuna juhudi njema inayopotea bure.Usikubali maumivu ya leo yakufanye uache ndoto zako.Kila usiku una mwisho wake ambao ni nuru.Endelea kusimama imara ukiamini siku moja utakuja kujivunia kwa kutokukata tamaa..
Mungu abariki juhudi zako na azipokee na kuzijibu dua na sala zako 🙏✍️

01/02/2026
08/01/2026

Mfano wa barua jtatu kwa walimu wakuu huo Mfano wa barua😂😂😂

16/12/2025

“Kwanza nikupongeze kwa kutafuta taarifa sahihi, kuna watu badala ya kutafuta raarifa sahihi nimeona kuna mdahalo unaendelea kwamba kulikuwa kuna masimango yamefanywa kwa kwa Klabu ya Simba kitu ambacho sio sahihi.”

“Presentation yangu haikuwa inailenga Simba, ilikuwa inazungumzia maendeleo ya vilabu na mabadiliko yake. Katika presentation hiyo kulikuwa na sehemu k**a tatu [3] ambazo niliwasilisha.”

“Eneo la kwanza nilizungumzia changamoto za vilabu vya Afrika, ukizungumzia changamoto za eneo hilo hakuna mahali utakimbia uongozi bora unaopaswa kuendesha vilabu [Mfano uliotumika ni wa mashabiki wa Simba lakini haikuwa na tafsiri kwamba Simba haina uongozi mzuri].

“Namuheshimu sana Mangungu, namheshimu sana kaka yangu Magori, ambao wote hawa ni viongozi wazuri na wana uzoefu mkubwa kwenye mpira lakini tunacho kizungumza ni utawala bora sio uongozi bora”

- Eng. Hersi Said, Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu Afrika [ACA].kwa ufafanuzi zaidi Njoo mlungwana sport update Whatsap channel

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kwa Azizi Ally
Dar Es Salaam
MTONIKWAAZIZIALLY