Health Talk

Health Talk

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Health Talk, Health/Beauty, KINONDONI, Dar es Salaam.

Photos from Health Talk's post 06/11/2017

LIFAHAMU TATIZO LA UPUNGUFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA

Upungufu huo unaweza kuwa ni:
1. Kukosa hamu ya kurudia tendo la ndoa.
2. Uume kusinyaaa K**a wa mtoto mdogo.
3. Kuwahi kufika kileleni(kutoweza kumfikisha mwanamke kileleni.
4. Kuchelewa sana kufika kileleni (kushindwa kufika kileleni kabisa)
5. Kushindwa kufanya tendo la ndoa.
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji.
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.

SULUHISHO KWA TIBA LISHE

Tuna bidhaa za asili ambazo husaidia;
*kuongeza nguvu Za kiume Na k**e
*kubalance hormones
*Inaongeza utete kwa mwanamke
*uboreshaji wa tendo la ndo a
*inapunguza stress kwa mwanamke Na mwanaume.
*kukupa Nguvu Za kutosha

Bidhaa hizo zimewekwa kwenye mfumo wa unga,Vidonge na maji.
Huondoa changamoto hizo elezwa hapo juu na kumpa mtumiaji uwezo sahihi

Kwa maelekezo zaidi juu ya jinsi unaweza kupata bidhaa hii wasiliana nasi kwa namba:

+255 718437227
+255769860039

03/11/2017

MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)

Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku nzima, siku mbili au tatu bila kupata CHOO, wengine hupata CHOO KIGUMU hii ni hatari sana.... Usipuuzie.
Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa sana.

# Bawasili (vimbe sehemu ya haji kubwa)
Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.

# Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. : Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.

# Kuchungulia kwa sehemu ya utumbo kwenye njia ya haja kubwa

# Magonjwa ya utumbo. Kutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria n.k na kwa muda mrefu hupelekea kupata kansa za utumbo.
Pia U.T.I, Mkojo kushindwa kutoka vizuri, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k

NAMNA YA KUWEKA AFYA YAKO VIZURI NA KUJIONDOA KWENYE HATARI YA KUPATA CONSTIPATION, PIA KUSAIDIA KUFANYA KINYESI KUA LAINI.
Kuna njia nyingi sana za kuondoa hili tatizo, Mimi nitakuonesha niliyoitumia na niliyoqashauri wengi na ikawasaidia hata changamoto zingine nyingi.
Nimewasaidia wengi sana kwa kutumia virutubusho hivi
1) Gel (juice)
2) AlfaAlfa(vidonge).
Hivi ni virutubisho (sio dawa), zinatumika sana kuhakikisha afya yako ya mmeng'enyo wa chakula unakua vizuri na kukuondolea matatizo ya constipation.

Ni virutubusho asilia havijaongezwa radha, wala visindika vyenye kemikali.

1. GEL.
Ina uwezo mkubwa wa kusafisha mfumo wa chakula pia husaidia ufanisi wa mifumo ya mwili, afya ya Ngozi, kuondoa sumu mwilini, kubalance sukari, n.k
2. ALFALFAHii ipo kwenye mfumo wa vidonge ili kurahisisha utumiaji. Imetokana na mboga za majani tofauti zenye mchanganyiko mzuri wa virutubisho.

KWA KUTUMIA
*GEL na ALFALFA
unapata faida nyingi mno sio tu kwa mmeng'enyo wa chakula na constipation.
Hivi ni vyakula vizuri kwa uimara wa afya yako.
Kwa anaehitaji virutubisho hivi atatupata kwa namba

+255718437227
+255769860039

Mikoani tunatuma pia.
Karibuni.

03/11/2017

ONDOA MAFUTA MWILINI!!
Mjipatie bidhaa, zisizo na madhara za kupunguza mwili, kitambi nyama uzembe pasipo kuacha ngozi zilizolegea ama kuning'inia

1. CLEANSING AND DETOXIFICATION PROGRAM zipo pia kwa maana ya kutoa sumu mwilini na kusafisha mfumo wa chakula,kwa wanaotaka kupungua ama wenye shida ya CONSTIPATION au afya bora!

2. LEAN Na CAMBOGIA VIdonge vya kuyeyusha stored fats, kukata hamu ya chakula na kuzuia mafuta ya kwenye chakula unachokula yasiingie mwilini (ukitumia hivi vidonge hauharishi)

3.BODYTONINGKIT zipo kwenye package yenye vitu vitano vya kupunguzia mikono,mapaja ama kitambi tu kwa watu wasiotaka kupunguza maeneo mengine ya mwili

WASILIANA NASI
0769 860039 /0718437227

02/11/2017

MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)

Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku nzima, siku mbili au tatu bila kupata CHOO, wengine hupata CHOO KIGUMU hii ni hatari sana.... Usipuuzie.
Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa sana.

# Bawasili (vimbe sehemu ya haji kubwa)
Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.

# Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. : Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.

# Kuchungulia kwa sehemu ya utumbo kwenye njia ya haja kubwa

# Magonjwa ya utumbo. Kutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria n.k na kwa muda mrefu hupelekea kupata kansa za utumbo.
Pia U.T.I, Mkojo kushindwa kutoka vizuri, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k

NAMNA YA KUWEKA AFYA YAKO VIZURI NA KUJIONDOA KWENYE HATARI YA KUPATA CONSTIPATION, PIA KUSAIDIA KUFANYA KINYESI KUA LAINI.
Kuna njia nyingi sana za kuondoa hili tatizo, Mimi nitakuonesha niliyoitumia na niliyoqashauri wengi na ikawasaidia hata changamoto zingine nyingi.
Nimewasaidia wengi sana kwa kutumia virutubusho hivi
1) Gel (juice)
2) AlfaAlfa(vidonge).
Hivi ni virutubisho (sio dawa), zinatumika sana kuhakikisha afya yako ya mmeng'enyo wa chakula unakua vizuri na kukuondolea matatizo ya constipation.

Ni virutubusho asilia havijaongezwa radha, wala visindika vyenye kemikali.

1. GEL.
Ina uwezo mkubwa wa kusafisha mfumo wa chakula pia husaidia ufanisi wa mifumo ya mwili, afya ya Ngozi, kuondoa sumu mwilini, kubalance sukari, n.k
2. ALFALFAHii ipo kwenye mfumo wa vidonge ili kurahisisha utumiaji. Imetokana na mboga za majani tofauti zenye mchanganyiko mzuri wa virutubisho.

KWA KUTUMIA
*GEL na ALFALFA
unapata faida nyingi mno sio tu kwa mmeng'enyo wa chakula na constipation.
Hivi ni vyakula vizuri kwa uimara wa afya yako.
Kwa anaehitaji virutubisho hivi atatupata kwa namba

+255716789967
+255755928588

Mikoani tunatuma pia.
Karibuni.

02/11/2017

ISHI NDOTO YAKO NA WEKEZA KIPATO KISICHO NA UKOMO;

Jinsi ya kuwekeza kwa pesa kidogo na kubadili maisha yako
Kuna aina nne za utafutaji wa pesa

1.Kuajiriwa
Ukijiriwa mara nyingi unakosa uhuru wa muda na fedha ,hivyo unapoajiriwa lazima uwe na plan B katika maisha yako

2.Kujiajiri
Kujiajiri mara nyingi unakosa uhuru wa muda ,hebu fikiria mangi anayeuza duka lake mwenyewe hawez kutoka hapo wakti wote biashara inamuhitaji akitoka tu kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza mapato

Aina mbili zilizobaki ndizo aina ambazo mtu akitumia vizuri anapata uhuru wa kifedha na muda
3.Kumiliki biashara kubwa
Mfano anayemiliki hotel kubwa hahitaji kuwepo ili kazi ziende maana majukumu yake amewapa wasomi wafanye kazi
ana muhasibu wake
mwanasheria
Manager wake
wote hawa wanafanya majukumu ya mwenye biashara na kulipwa huku yeye anakuwa na uhuru wa fedha na muda

4.Kuwekeza ,hapa ni kwamba unakuwa na miradi au pesa zinakufanyia kazi wewe,mfano mtu anayejenga nyumba ya kupanga yeye kazi yake ni kukusanya kodi nk
sasa maranyingi watu tunapenda kuwekeza

Changamto kubwa katika uwekezaji ni mtaji,kwasababu uwekezaji mwingi unahutaji mtaji mkubwa ambao watu wa chini tunashindwa

Kutokana na kupanuka kwa dunia kumetokea uwekezaji ambao unahitaji mtaji mdogo ili watu wengi waweze kuwekeza
iwe ni mwalimu ,mwanafunzi ,mfanyakazi au mtu aliyejiajiri pamoja na wafanyabiashara kupata mwongozo huuu
nitext mimi mwenyewe whatsapp kupitia namba

0716789967
0755928588

Tutakuelekeza kuwekeza kwa mtaji mdogi ubadili maisha yako na kufurahia uhuru wa fedha/ Kipato na muda wa kutosha.

Photos from Health Talk's post 02/11/2017

FAHAMU KUHUSU UGONJWA BAWASIRI (HEMORRHOIDS).

Kwanza kabisa nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu pia nikushukuru wewe unaesoma makala hii pia, k**a umekuwa ukisumbuliwa na bawasiri suluhisho limepatikana.

BAWASIRI(HAMORRHOIDS) au (PILES) NI NINI?

Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, kuwa na uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujuliakana k**a haemorrhoids au piles.
Ugojwa wa hemorrhoids (uwepo wa nyama) katika haja kubwa, ni changamoto sana siku hizi. Ugonjwa huu uwapata watoto hata na watu wazima

Bawasiri inaweza kupelekea upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upasuaji(si njia salama maana ugonjwa hujirudia baaada ya muda) ama kwa matumizi ya tiba mbadala kwa kipindi kirefu wiki hata 6 au hata zaidi kutegemea ilikuwa imejijenga kiasi gani.

CHANZO CHA BAWASIRI

Mambo yafuatayo kupelekea wewe kupatwa na bawasiri:

>. Kukosa haja kubwa au kupata choo kigumu kwa muda mrefu.

>. Ujauzito(Pregnancy) – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa.

>. Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile.

>. Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.

>. Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.

>. Kuharisha sana kwa muda mrefu
7. Kutumia vyoo vya kukaa
>. Kunyanyua vyuma vizito
>. Mfadhaiko/stress
>. Uzito na unene kupita kiasi (obesity).

DALILI ZA BAWASIRI

>. Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa.
>. Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia.
>. Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa.
>. Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa.
>. Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote.

JE? UNAMJUA/UNASUMBULIWA NA TATIZO HILI AU UNA BABA/MAMA/ DaDa/ BIBI/ KAKA/BABU MWENYE SHIDA HII.

Zipo bidhaa ambazo zinasaidia mtu ambaye mwenye matatizo haya au anasumbuliwa na matatizo haya mara kwa mara,Bidhaa hizi hazina kemikali hivyo zinafaa kwa matumizi kwa watu wazima ili kuzuia na hata walioathirika na tatizo hili.. Bidhaa hizi si dawa lakini humsaidia mtumiaji katika:-
> Kusafisha mfumo mzima wa chakula: hivyo utapata choo vizuri na kujiepusha usipate bawasiri na k**a unayo kupungua.
>Kuongeza lishe na mboga mboga katika mlo wake ili kuzuia usipate choo kigumu.
> Kusaidia kuondoa maumivu, miwasho na vimbe itokanayo na bawasiri.
>Kumuongezea fiber mwilini hivyo usipate tatizo la kupata choose kigumu.

BAWASIRI NI UGONJWA HATARI K**A HUTOCHUKUA HATUA YA TIBA HARAKA NA MAPEMA HATA K**A HUNA, KINGA NI BORA.

Kwa maelezo zaidi, ushauri au uhitaji wa bidhaa hizi
wasiliana nasi Calls/ Text and whatsapp

+255755928588
+255 716789967

01/11/2017

MACA SUPPLIMENT TIBA LISHE YA KUBORESHA TENDO LA NDOA.

Hii ni bidhaa bora ambayo inamchanganyiko wa virutubisho kutokana na Aloevera pamoja na mmea wa Maca.
Bidhaa hii ina virutubisho bora na muhimu vyenye kuweza kuboresha tendo la ndoa kwa Mwanamke na Mwanaume.

Bidhaa hii inafaida zifuatazo kwa mtumiaji.
Huimarisha misuli ya uume kwa mwanaume ambaye ameathirika na tatizo la kujichua(punyeto)
Huboresha hamu ya kurudia tendo la ndoa hasa kwa mwanaume au mwanamke asiyeweza kurudia tendo afikapo kileleni.
Huboresha tatizoa uume kusinyaa kwa mwanaume anayepata tatizo la uume kunywea au kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto.
Huboresha tatizo la mwanaume kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
Huboresha Uzalishaji wa mbegu za kiume na k**e kwa mwanaume au mwanamke mwenye changamoto ya kushindwa kurutubishwa kwa mayai yake kutokana na wepesi au kutokukomaa kwa mbegu zake za uzazi.
Humpa hamu ya tendo la ndoa mwanamke au mwanaume aliyepoteza hamu ya tendo la ndoa.
Huboresha changamoto ya mwanamke kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.
Huongeza nguvu na uwezo kwa mwanaume kufanya tendo la ndoa vizuri na kuimarisha misuli ya uume.

Bidhaa hii ni bora na ni natural inapatikana kwa sh.67000.
Unaweza kuipata sehemu yeyote ukihitaji utafikishiwa kwa Dar es salaam au mikoani.

Wasiliana nasi kwa namba

#+255716789967
#+255755928588

Calls/Whatsapp and Text.

01/11/2017

LIFAHAMU TATIZO LA UPUNGUFU WA HAMU YA TENDO LA NDOA

Upungufu huo unaweza kuwa ni:
1. Kukosa hamu ya kurudia tendo la ndoa.
2. Uume kusinyaaa K**a wa mtoto mdogo.
3. Kuwahi kufika kileleni(kutoweza kumfikisha mwanamke kileleni.
4. Kuchelewa sana kufika kileleni (kushindwa kufika kileleni kabisa)
5. Kushindwa kufanya tendo la ndoa.
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji.
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa.

SULUHISHO KWA TIBA LISHE

Tuna bidhaa za asili ambazo husaidia;
*kuongeza nguvu Za kiume Na k**e
*kubalance hormones
*Inaongeza utete kwa mwanamke
*uboreshaji wa tendo la ndo a
*inapunguza stress kwa mwanamke Na mwanaume.
*kukupa Za kutosha

Bidhaa hizo zimewekwa kwenye mfumo wa unga, maji na kutumika k**a lishe.Hizi bidhaa zinafanyakazi vyema na kukuondolea changamoto hizo.

Kwa upataji wa bidhaa zetu wasiliana nasi kwa namba

+255716789967
+255755928588

NB: Tafadhari tupigie ukiwa serious na uhitaji wa bidhaa zetu na ushauri pia.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


KINONDONI
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00