Muky Media
Interview entertainment & drama music in Africa
14/06/2026
KWA WANAO SEMA SIJUWI WACHA KUMUONGELEA MWENZIO TUMIENI AKILI
BASI AU HATA UELEWA WA KAWAIDA KWANI NIMEJIHOJI...??? NIMEULIZVWA
KUHUSU YEYE MLITAKA NIJIBU KUHUSU NANI ??? SIWEZI MUONGELEA KWA
MAZURI BECAUSE HATA UFANYE MABAYA 100 SIKU UKITUBU MUNGU
ANAKUSAMEHE NDIVYO VITABU VINAVY0 SEMA YESS SO HATA UKIMFANYIA
MTUU MAZURI 100 MWISHONI UKIMTENDEA UBAYA MAZURI YOTE YANAFUTIKA..!!! KILA MTUU ANAJUA KWAMBA ALINISAIDIA NIKIWA NAANZA HII SAFARI NA
NILIMPA HESHIMA ZO00TE SIO STORY MPYA. NILIPO ANZA KU SHINE ZAIDI
AAKAANZA TENA KUPAMBANA KUNIUWA KIMUZIKI NDIO MAAADA ILIYOPO
MEZANIIII KUNILIPISHA 600.M MAANAA YAKE ALIIUZA HESHIMA YAKE YOTE..!!
SIJAFANYA HIVYO KWA MSANII YEYOTE ALIE PITA MIKONONI MWANGU TENA
KIPINDIAMBACHO SIKUWA NA KITU KABISA !!! KUNIIIMBA KWENYE NGOMA
ZAKE NIKUTANGAZA RASMI KUWA MIMI NI MSHINDANI WAKE NOW.
TATU KUWASHAWISHI AKINA & IBRAAH SIJUWI KUWATAFUTIA
WANASHERIA NI KUIFIFISHA KONDEGANG KWAKUWA ANAJUA KABISA
UMEFANYIKA UWEKEZAJI MKUBWA...J!.!! SITOWEZA KUENDE KUWA SHIDA
VIJANA WENGINE NITAKATA TAMAA ILI ABAKI YEYE MWENYE LABEL PEKEYAKE
SO KIFUPI MWAMBIENI YEYE AACHANE NA MIMI ...!!! SIKU AKIACHANA NA MIMI
HUTONISIKIA NANYANYUA MDOMO WANGU BINAFSI NAJUA ALIPASWA KUPEWA
HESHIMA KUBWA SANA ESPECIALLY KWA HII NAFASI NILIYO NAYO NOW
KWENYE HUU MUZIKI ILA KAIUZA NA BADO ANAITAKA TENA ..!! UKITAKA KUJUA
BADO HIS SICK OF ME NIKUULIZE TUUU MAPUWA NI MMBUNGE KAFWATA NINI
REDIONI INTERVIEW YAKE INAHUSIANA NA NINI WALA HATO WIMBO K**A
HAJATUMWAAA !!!! SIKU MAPUA AKINYAMAZA SINA TIME YA KUMUONGELEA
KABISAA LASIVYO HAIIISHI MPAKA IIISHE LA MWISHO KABISAAA HUYO MNAE
MTETEA NDIO ALIVUJISHA VIDEO YANGU YA UTUPU ALITOA AMRI ISAMBAZWE
ALIMUAGIZA BABA LEVO ASAMBAZE ILI NIKOSE UBALOZI WA BANK
NILIYOKUWA NA FANYA NAYO KAZI KIPINDI HIKO
NITAKUFA KIMUZIKI KWA STRESS NA MSONGO WA MAWAZO ..!!!
PIA ALIJUA KWAMBA
MKINIONA SIKU NAKUTANA NAE NAMSALIMIA SIJUWI NINI JUA TUU IM VERY
STRONG NA SIPENDI KUKAA NA VITU MOYONII ILA UKWELI NI KWAMBA
HASTAHILI HATA SALAM YANGU
Ameandika Harmonize 🖍 intastory
13/06/2026
Hili hapajina la Mtoto Wa Pamoja Na whozu
"ollie". Wawili Hawa Wamethibitisha Hilo Kwa Kufungua Account Ya
Instagram Ya Mtoto Huyo litwayo babyollie_oscar
una maoni gani?.
15/04/2026
Harmonize aweka wazi mambo yake ya siri baada ya skendo zilio sambaa siku chache nyuma za kudaiwa zaidi ya milion 60 ya kodi na baba mwenye nyumba wake
Hivyo aliona aweke vitu vyake hadharani uku akitaka mashabiki wasiache kumsapot
Nukuu
K**a Mlivyosikia Nadaiwa Baba Mwenye nyumba Kanijia
Imenibidi Nifungashe Uzuri Nimepata Nyumba Kali tuu Maeneo Ya GOBA
Huku ..!! Binafsi Sijawahi Kuwa Muoga Wa Madeni Wala Maisha, K**a Kuna
Mtuu Anakudai Au Hata Mtandao Wa Simu Unakudai Na Unasoma Hii
Post .!! Usirudi Nyuma Usijali Kilamtu Anadaiwa Na Nikukumbushe Baadhi
Ya Madeni Niliyo Pata & Kuyalipa Kipindi Hiki Hiki Nikiwa Napambania Imani
Mliyonipa Kwenye MUZIKI İsipotee ..!!
1.LABEL 600.m
2. BANK CRDD 200m.
3. DR JEMBE 100.m
4.SARAH MZUNGU 180.m
5.INVESTED OVER 1.B On the LABEL
IN 3 YEARS I HAVE GOT NOTHING ...!
Sina Jasho La Mtuu Na Hii Imenifunza Hakuna Kitu Cha Bure & Kutofautisha
Kati Ya Makubaliano na Maridhiano Sijawahi Kuleta Janja Janja Wala
Kutafuta Kisingizio Cha Kudhurumu Haki Ya Mtuu Hakuna Laana
INAYONIPATA .!! UPEND0 Na Huruma Yenu Imeniwezesha .!!PLEASE
KEEP GOINGT Siovizuri Sana Kujisifu Mafanikio Machoni Pa Wat
Ndiomaana Huwa Nanyamazaga Hata Lisemwe Nini lla Wewe Jua Kwamba
Nimefanikiwa Kimaisha Mapema Mno Ukifananisha Na Mimi wa Zamani
PARKING YANGU ina Thamani Ya 2.B Yani v8 2 range Rover sport 1 range
Rover defender 2024 1 BMW 4Z 1 Invested on mansion houses than 4.B
my music catalogue ina thamani Ya 5.m USDS nikisema Niiuze Leo.!! SINA
MKOPO WALA MAREJESHO YOYOTE NATAKA NIJIFUNZE ELIMU YA
FEDHA KWANZA ..!! THEN NITAKOPA Anyways Jana Mvua llichapa Sana
Kipande Cha GOBA, Bubaaa..! Nikakutana Na _kusah_ Mazungumzo Yetu
Yalijikita Zaidi Katika Kutambua Mchango & thamani Ya Watu Tulio Nao
Wanao Jitoa Usiku Na Mchana Kwaajili Yetu ...!! Nyakati Hizi Mambo Nİ
YANI ZERO 0
Mengi Sana.!!! Hata Ufanye Nini Unahitaji Mtuu Sahihi Pia Ni Rahisi Sana
Hasa Kwasisi Vijana Kujisahau Na Kumchukulia Poa Ulie Nae for some
time ..! IMAGINE MAMA MTU KAKUBALI TUHAMIE ZETU GOBA ..! HANA
NOMA SHARE THIS TO SOMEONE UNAEMUAMINI kwamba Anaweza
Simama Na Wewe Katika Nyakati Zotee A Mwabie K**A SIO WEWE !!
Nisingekuwa Hapa.!
ameandika Harmonize Katika ukurasa wake wa instagram🖍🖍
18/03/2026
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva pipijojo
Ameonekana akiwa katika saluni za uswailini
Mara baada tu ya kuachana na maeneja wake cheafgoodlove
Maan halisi ya maisha kuna kupanda na kushuka
Utamshauri nini pipijojo ukipata nafasi ya kukutana nanae
Je angebaki kwa meneja wake cheafgoodlove au ni bora aishi maisha yake tu
Tazama video kwenye comment
Kisha utoe maoni yako
Update by MukyTv 🖍
16/03/2026
Iran imerusha makombora yake ya kwanza kuelekea Israeli leo
Jumatatu March 09,2026 tangu kuteuliwa kwa Kiongozi Mkuu mpya wa
Jamhuri ya Kiislamu, Ayatollah Seyyed Mojtaba Khamenei.
Kituo cha utangazaji cha Serikali ya Iran IRIB kimesema kwamba Iran
imefyatua wimbi la kwanza la makombora chini ya Ayatollah Mojtaba
Khamenei kuelekea maeneo yaliyokaliwa ambapo imechapisha picha ya
kombora lenye kauli mbiu "Kwa Amri Yako, Sayyid Mojtaba".
Wakati haya yakijiri, Waziri Mkuu wa Qatar na Waziri wa Mambo ya nje,
Mohammed bin Abdulrahman Al Thani ametoa wito wa kupunguzwa kwa
kiwango cha vita vya Iran ambapo akiongea na Sky News amesema
hawakutarajia mashambulizi ya jirani yao Iran dhidi ya nchi za Ghuba.
Wakati huohuo shambulizi la droni lililofanyvwa na Iran nchini Bahrain
limewajeruhi Raia 32 katika kisiwa cha Sitre.
Update by MukyTv 🖍
Click here to claim your Sponsored Listing.
Address
Gongo La Mboto
Dar Es Salaam