afya.link
tuna angazia kutoa huduma na ushauri juu UA afya yako. karibu katika ushauri na tiba kwa utaratibu wa matibabu ya siku tisini
18/11/2019
Supu ya pweza imekua ni maarufu sana hasa matika miji inayo patikana katika mwambao wa bahari na pwani, kwani inasemekana pweza mchuzi wa pweza unasidia katika masula ya ndoa yaani kuboost tendo la ndoa kwa wanaume, hii ni kweri na sio pweza pekee ila samaki wote wanaweza kufanya ivo kwani wana madini ya zink ambayo ndio hujenga afya ya uzazi wa mwanaume.
Je umewahi kuwaza athari za pweza ni zipi na faida zake ni zipi?
Faida ya pwezi ni hii👇👇👇 Nyama ya pweza pamoja na mchuzi hubeba madini muhimu yanayo saidia kujenga afya ya uzazi na mfumo wa mzunguko wa damu katika miili yetu.
_ASILIMIA 71.65% ya wanaume duniani wanahatari ya kushambuliwa na Magonjwa ya NGUVU ZA KIUME, hi ni kutokana na Vyakula Tunavokula kila siku, wengi tunapenda kula vyakula vya mafuta, vyakula vilivo kobolewa kiasi ya kwamba vinapelekea mpaka tunakosa madini muhimu mwilini k**a vile madini ya ZINC, SELENIUM na CALCIUM ni madini muhimu kwa mwanamme ambayo yanasaidia katika usukumaji mzuri wa damu kwenye mishipa ya uume lakini kuifanya damu iweze kupita vizuri na kuifanya mishipa ya uume iwe na uwezo wa kusimama kwa mda mrefu.
Changamoto zinazo wakumba akina baba wengi na zinazo weza kutatuliwa na ulaji sahihi we pweza ni k**a:-
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa *Kushindwa kurejea tendo baada ya mzunguko wa awali.
*Kuwa na s***m chache au s***m nyepesi.
*Kulegea kwa uume (na hata k**a haukuwahi kusimama).
*Uume kutokusimama ipasavo
*Kutokufika mwisho wa tendo yani huna nguvu za kumtosheleza mwenza wako.
Hasara za kutumia pweza ni k**a zifutazo.
Pweza anafaida nzuri kiafya lakini anaathari kubwa pia kiafya hasa wale wanaouzwa mitaani.
_supu tunazo uziwa mtaani huwa zimechanganywa na madawa amabyo huweza kusababisha magonjwa ya msh*tuoko na kupanuka moyo.
_matumizi ya pweza kwa lengo la kuongeza ufanisi wa tendo la ndoa huweza kukufanya kuwa mtumwa wa kinywaji hicho kwani husababisha athari za kisaikolojia.
_hutanua mishipa ya damu ambyo husababisha presha kupanda haswa ikiwa imachanganywa na dawa zingine.
Unashauliwa kutumia pweza ulie muandaa mwenyewe nyumbani katika mazingira safi na salama.
Karibu uliza kuhusu afya pia follow us .link
03/11/2019
KUTOKWA NA DAMU NYINGI WAKATI WA HEDHI (menorrhagia)
Hilo n tatzo kubwa saana kwa mwanamke anapoingia hedhi kwa takriban Siku saba bado damu zinatoka kwa kiasi kikubwa na lisipopatiwa ufumbuzi mapema baac yaweza pelekea madhara makubwa saana...
Visababishi vinaweza kuwa:-
1.kutokuwepo kwa usawa wa vichochezi vya mwili (hormonal imbalance)>> mwilin mwa mwanamke kuna vichochezi viwili vya muhimu sana hapo progesterone na oestrogen hivi vinatakiwa kufanya kazi kwa usawa endapo utakuwa unatumia njia za kupanga uzazi nyinginezo k**a njiti, vidonge vinabadilisha mfumo wa hizi kwny utenda kazi wake kwo kusababisha hali hii kutokea.
2.uvimbe kwenu mfuko wa uzazi(fibroids)
hivi n viuvimbe vinavyotokea kwny mfuko wa uzazi katika umri wa uzazi hii ikasababishwa pia kutokuwepo usawa wa vichochezi
3.magonjwa ya kurith
kuna familia nyingine zenye upungufu wa vigandishi damu (clotting factor) hii kusababisha kuchelewa kwa damu kuganda
4.matatizo ya kiafya
5.matatizo kwenye ovari
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Feza Nursery, A
Dar Es Salaam
MIKOCHENI
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |