AJAM herbal plus

AJAM herbal plus

Share

tunawasaidia wahanga wa magonjwa mbalimabali kwa kutumia dawa za asili

27/06/2026

MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIO (Heart palpitations)

đź”—Miongoni mwa dalili kubwa ya Acid reflux na vidonda vya tumbo ni mapigo ya moyo kwenda mbio hali inayowafanya wagonjwa wengi wenye changamoto hizo kuhisi wana magonjwa ya moyo na Presha.

đź”—Wengine huamua kufanya vipimo vya magonjwa ya moyo k**a ECG & ECO na kuonekana hawana magonjwa hayo.

đź”—Acid reflux husababisha Mapigo ya moyo kwenda mbio kwasababu husababisha irritation/stimulation ya Vagus nerve ambayo ni pair namba 10 katika neva za fahamu katika ubongo, neva hii husambaa kutoka kwenye ubongo hupita kwenye koo,kisha huenda kwenye moyo,tumbo na mfumo wa upumuaji.

Neva hyo inapokuwa irritated/stimulated husababisha moyo kwenda mbio kwani vagus nerve husababisha mapigo ya moyo pia (pulse rate).


0688 638 481
DAR ES SALAAM, TANDIKA
AJAM-HERBAL CLINIC

27/06/2026

DALILI ZA ACID REFLUX


0688 638 481
______________________
đź”— Kifua kuwaka moto
đź”—pumzi kubana
đź”—mapigo ya moyo kwenda mbio
đź”— kuwa na hofu bila sababu
đź”— kiungulia mara kwa mara
đź”— kuhisi kitu kukwama kooni
đź”— maumivu ya koo
đź”— koo kukauka
đź”— makohozi kukauka
đź”— kukosa usingizi
đź”— Kuota ndoto za kutisha
đź”— maumivu mgongoni na mabegani
đź”— masikio kupiga kelele

â—Ź k**a una dalili hizi na unahitaji kupata suluhisho wasiliana nasi leo


0688 638 481
_______________

Tunapatikana
dar es salaam tandika

27/06/2026
26/06/2026

0688 638 481
Tandika-dar es salaam

26/06/2026

MATIBABU YA PID
(Pelvic care)

Wenye kusumbuliwa na changamoto hizi
⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️

▪️kutokwa uchafu ukeni
▪️miwasho ukeni
▪️harufu mbaya ukeni
▪️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▪️maumivu chini ya kitovu
▪️uke kuwa mkavu
Nk

GHARAMA YA MATIBABU
67,000/=

Wasiliana nasi
📞0688 638 481
📞0688 638 481

26/06/2026

MATIBABU YA PID
(Pelvic care)

Wenye kusumbuliwa na changamoto hizi
⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️

▪️kutokwa uchafu ukeni
▪️miwasho ukeni
▪️harufu mbaya ukeni
▪️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▪️maumivu chini ya kitovu
▪️uke kuwa mkavu
Nk

GHARAMA YA MATIBABU
67,000/=

Wasiliana nasi
📞0688 638 481
📞0625 438 481

26/06/2026

ZIJUE DALILI ZA U.T.I, FANGASI,PID, UVIMBE KWENYE KIZAZI NA HORMONAL IMBALABCE

zungu
📞 +255 688638481
📞+255 625438481
_____________________

âš« BAADHI YA DALILI ZA UTI
--------------------------------------------------
đź”—Kujisikia kukojoa muda wote
đź”—kuchoka sanaa
đź”—Mkojo kutoa harufu
đź”—Mkojo wa rangi
đź”—Homa Kali
đź”—kichefuchefu
đź”—kutapika

âš« BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI
---------------------------------------------------
đź”—kuwashwa sehemu za siri
đź”—Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
đź”—Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
đź”—Kupata vidonda
đź”—Kupata michubuko ukeni
đź”—Maumivu wakati wa kukojoa
đź”—Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
đź”—Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

âš« BAADHI YA DALILI ZA PID
---------------------------------------------------
đź”—Uchafu mzito ukeni wa rangi nyeupe au njano
đź”—Uke kutoa harufu mbaya
đź”—Kuwashwa sehemu za siri
đź”—maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
đź”—Uke kuwa mlaini sana
đź”—Maumivu wakati wa tendo la ndoa
đź”—Kuvurugikwa kwa hedhi
đź”—Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
đź”—Maumivu wakati wa kukojoa
đź”—Homa/uchovu na kuchoka
đź”—kizungu zungu na n.k

âš« BAADHI YA DALILI ZA FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI
---------------------------------------------------
đź”—Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
đź”—baadhi ya nyakati Kutokwa na uchafu mwingi na mweupe ukeni
đź”—Maumivu makali ya kiuno wakati wa hedhi
đź”—Tumbo kuuma sanaa chini ya kitovu
đź”—Hedhi isiyokuwa na mpangilio
đź”—Maumivu wakati wa tendo la ndoa
đź”—Maumivu makali wakati wa hedhi
đź”—kukosa hamu ya tendo la ndoa na n.k

âš« BAADHI YA DALILI ZA HORMONE IMBALANCE (mvurugiko wa vichocheo)
--------------------------------------------
đź”—ukavu ukeni
đź”—Maumivu wakati wa tendo la ndoa
đź”—Hedhi ya mabonge mabonge
đź”—kukosa ute wa uzazi ukiwa siku za hatari
đź”—kupitisha baadhi ya miezi bila kuingia period
đź”—Kutoa jasho jingi usiku
đź”—Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
đź”—Kukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa
đź”—Hedhi isiyo na mpangilio na n.k

âš« BAADHI YA DALILI ZA UGUMBA
..................................
đź”—Kutoshika ujauzito wakati unakutana na mwanaume
đź”—Kutoingia kwenye siku za hatari
đź”—Kukosa ute wa siku za hatari
đź”—Zaidi ya mwaka bila kupata ujauzito huku ukishiriki tendo la ndoa na mwenzio

âš« k**a wewe unasumbuliwa na changamoto moja wapo kati ya hizo basi usikae kimya wasiliana nasi uweze kutatua changamoto yako sasa

0688 638 481
0625 438 481
AJAM HERBAL CLINIC
---------------------------------------------------

27/05/2026

TATIZO LA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ACID TUMBONI (ACI REFLUX-GERD)
Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

zungu
0688 638 481
Ajam herbal clinic
------------------------------------

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux)
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️

1.đź”— Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.đź”— Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.đź”— Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.đź”— Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.đź”— Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.đź”— Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.đź”— Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.đź”— Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.đź”— Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.đź”— Kupata kikokozi kisichoisha
11.đź”— Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.đź”— Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.đź”— Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.đź”— Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.đź”— Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.đź”— Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.đź”— Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.đź”— Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.đź”— Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.đź”— Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.đź”— Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.đź”—Kichefuchefu na kutapika.
23.đź”— Maumivu ya Masikio
24.đź”— Kupata ganzi kwenye vidole vya miguu au mkono.

BAADHI YA MADHARA YA ACID REFLUX

1.đź”— Saratani/Kansa ya koo
2.đź”— Kupungua kwa ukubwa wa koo/Kuziba kwa koo(EUSOPHAGEAL STRICTURE)
3.đź”— Wasiwasi/Khofu isiyokuwa na kikomo.
4.đź”— Kukosa amani ya kuishi duniani na kuona dunia nzima imekutenga
5.đź”— Kupata Bawasiri kutokana na kujisaidia choo Kigumu
6.đź”— Kupoteza kuwezo wa kushiriki tendo (Wanawake & wanaume)
7.đź”— Mwili kudhoofika na kukonda kupita kiasi. Hasa pale Acid reflux hupelekea kupotea hamu ya kula.
8.đź”— Kunenepa kupita kiasi. Hasa pale Acid hupelekea upate njaa mara kwa mara na kupelekea kula mara kwa mara.
9.đź”— Kupata Fangasi wa mdomoni na katika mfumo mzima wa chakula
10.đź”— Kupata ngiri ya Kifua /Hiatal hernia.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.đź”— Uvutaji wa sigara
2.đź”— Unywaji wa pombe
3.đź”— Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.đź”— Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.đź”— Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.đź”— Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.đź”— Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Hiatal hernia)
8.đź”— Kuwa Mjamzito
9.đź”— Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.đź”— Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

TANDIKA SOKONI
DAR ES SALAAM
zungu
0688 638 481

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam