SAID UZAZI

SAID UZAZI

Share

"Furaha ya ndoa ni mtoto"� �
Rejesha furaha ya ndoa yako kwa kubeba ujauzito ndani ya siku 90 tu bila kutumia dawa.
0759296625.

02/08/2026

Ujauzito ni wa kila mtu aliyeumbwa na jinsia ya kike.❤️🙏🏽🤰

Mtoto hawezi kuja kwenye moyo wa mama uliokata tamaa, amini ipo siku Mungu atatenda malangoni pako mshukuru Mungu usilie wala kumkufuru kwani kesho yetu ndiyo siku pekee tuliyoingoja mda mrefu.🤰🤱
.

31/07/2026

Tengeneza juisi ya beetroot, pasheni na tikitimaji kwa ajiri ya:👇

1. Kuweka homoni sawa.
2. Kuondoa sumu ya uzazi wa mpango.
3. Kutibu presha ya mimba kwa WAJAWAZITO.🤰
4. Kuongeza damu hasa kwa WAJAWAZITO wanaopungukiwa damu mara kwa mara.
5. Kutibu chango la uzazi.

FANYA HIVI:👇

Chukua beetroot moja, tikitimaji kipande kimoja na passion moja au mbili. Kisha menya kuondoa maganda utumie nyama ya ndani.

Weka maji nusu lita kisha saga kwa pamoja na uchuje ili kupata juisi nzuri.

Weka asali kijiko kimoja au viwili kuongeza radha na unywe glass moja asubuhi na glass moja jioni kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA:👇
1. Usiweke sukari.❌
2. Unaweza kuhifadhi kwenye friji kwa ajiri ya baadae.
3. Unaweza kunywa mara kwa mara kadiri unavyohitaji.
.

30/07/2026

Tumebarikiwa ili tubariki wengine. Ipo nguvu kubwa ya baraka katika kusadia wenye uhitaji.

Askofu Mkuu Fernando Capalla wa Davao (Ufilipino) aliwahi kusema: "Hakuna mtu aliye maskini kiasi cha kushindwa kutoa, wala hakuna mtu aliye tajiri kiasi cha kutohitaji kupokea.”

Baada ya kusubiria mda mrefu hii ndiyo maana halisi ya kujibiwa maombi yako zaidi ya yale uliyomuomba Mungu.

Pokea baraka zako mama.❤️ Mungu abariki uzao wa tumbo lako zuri lililobarikiwa.🤰🤱
.

30/07/2026

K**a una changamoto kwenye mirija au mayai k**a vile:👇

1. Mirija kuziba.
2. Uvimbe kwenye mirija.
3. Mirija kujaa maji au uchafu.
4. PCOS
5. Uvimbe maji kwenye mayai yaani Ovarian Cyst nk.

FANYA HIVI:👇

Mahitaji:👇

1. Beetroot/ viazi vyekundu 2
2. Tikitimaji maji kipande kimoja na mbegu zake (nyama ya ndani na mbegu zake).🍉
3. Limao moja kamua maji yake kwenye glass🍋‍🟩

Saga kwa pamoja kwa kutumia maji glass mbili pamoja na maji ya limao uliyokamua.

Kunywa glass moja asubuhi na glass moja jioni kwa mwezi mzima.

NYONGEZA:👇

1. Beetroot/viazi vyekundu husaidia kuboresha mzunguko wa damu kwenye nyonga na mirija. Husaidia pia kusafisha uchafu wa ndani ya mfumo wa uzazi.

2. Tikitimaji linasaidia kuondoa joto la ndani hivyo huongeza uwezo wa mwili kujitibu maambukizi na uvimbe au nyuzinyuzi kwenye mirija.

3. Limao huongeza kinga ya mwili na kusaidia mwili kupambana na vimelea au uchafu ulioziba mirija.

4. Unaweza kuweka kwenye friji kwa ajiri ya baadae lakini kila siku tengeneza mpya.

Matokeo ya mda mrefu ni mirija kuwa safi zaidi, uchafu kuondoka na nafasi ya kushika ujauzito huongezeka.🤰👩‍🍼
.

29/07/2026

Utafiti unasema karafuu husaidia usagaji mzuri wa chakula tumboni na ni nzuri kwa matibabu ya maumivu ya tumbo, tumbo kujaa gesi na kiungulia. Hivyo, ni miongoni mwa kiungo muhimu katika vyakula kutokana na vinasaba vya aina ya eugnol vilivyomo ndani yake.

LEO TUJIFUNZE FAIDA KUU 6 ZA KUTUMIA KARAFUU KILA SIKU KATIKA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE.

1. Karafuu hupevusha mayai hivo kurahisisha zoezi la kubeba ujauzito.

2. Karafuu inazibua mirija.

3. Karafuu inazuia na kutibu kansa ya kizazi.

4. Karafuu inayeyusha uvimbe wowote kwenye kizazi (Fibroids & Ovarian Cyst).

5. Karafuu husawazisha homoni mfano huweza kutumika kurudisha period iliyokata mda mrefu au wanaopata period kidogo/matone inatakiwa watumie karafuu kwa wingi.

6. Karafuu husaidia upate ute wa uzazi.

MAHITAJI:👇👇

Mchaichai + Tangawizi moja + mdalasini vijiko viwili + karafuu kijiko kimoja + asali kijiko kimoja= Chai ya viungo.

Chemsha vyote kwa pamoja vikichemka chuja kwenye kikombe kimoja weka asali kijiko kimoja.

Kunywa chai hii asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo.

NYONGEZA: Kwa wenye vidonda vya tumbo chemsha k**a maelekezo yanavyoelekeza lakini usiweke tangawizi.

Faida ipi imekuvutia zaidi kati ya hizo?.
.

27/07/2026

Usipoteze matumaini huwezi kujua kesho umeandaliwa matokeo yapi.🤰👩‍🍼

Mtu mmoja aliyefanikiwa sana katika eneo lake baada ya kupitia changamoto nyingi kwa zaidi ya miaka 18 mfululizo alisema:-

"Leo yaweza kuwa siku ngumu kwako. Kesho ni siku ngumu zaidi ya leo. Lakini, siku inayofuata baada ya kesho ni yenye faraja, neema, mafanikio na yenye matokeo yote uliyoyangoja mda wote."

Akaendelea akasema:, "pamoja na hayo lakini watu wengi hukata tamaa ya kujaribu vitu vipya, hukata tamaa ya kuendelea kutumia na kufanya walichokuwa wanakifanya jana jioni."

Hii ni sawa na kusema huwa wanaishia na kuacha mda mfupi kabla hawajafikia mafanikio waliyoyahitaji. Wakikaribia kufanikiwa ndipo hukata tamaa, ndipo huacha na huondoa imani yao katika wayafanyayo.🤔

Usipoteze matumaini, maombi na imani yako kuhusu kupona kinachokusumbua, kubeba ujauzito, kujifungua salama na kunyonyesha mtoto/watoto wako wazuri kwenye tumbo lako zuri lililobarikiwa.🤰👩‍🍼
.
.

Photos from SAID UZAZI's post 25/07/2026

Subira yako ikazae matunda mazuri mithili ya uombavyo.🙏🤲🤰👩‍🍼
.

24/07/2026

Miaka mingapi amesema bila kupata mtoto? 🙆‍♂️
.

23/07/2026

Uliwahi kutumia aina gani kati ya hizi?

Na ilikupa madhara gani?.
.

22/07/2026

Bamia k**a hizi kwenu bei gani?.😂🏃‍♂️
.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00