ASSAD AFYA HUB
NAWASAIDIA WANAUME NA WANAWANAKE JUU YA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KIAFYA. PIGA +255766715146
Afya njema ni maendeleo kwenye familia na nchi kiujumla
19/10/2022
๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐.๐ (๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐) 0766715146
Osteoporosis Ni ugonjwa ambao husababishwa na maambukizo ya bacteria katika mfupa na misuli inayozunguka mfupa bacteria hao ni (staphylococci).
Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea kwenye uti wa mgongo(mgongo kupinda na kuuma Mara kwa Mara), MAGOTI kuuma,nyonga na kifuani.
*SABABU ZINAZOSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OETEOPOROSIS)
*1โฃMagonjwa ya figo.
*2โฃUpungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye`` ( *MENOPAUSE) kikomo cha hedhi
*3โฃUpasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
*4โฃANOREXIA uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoez`` kupita kiasi.
*KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA.(OSTEOPOROSIS)
*1โฃEpuka matibabu yeye kutumia kemikali
*2โฃ Zingatia rishe bora haaa utotoni pia pendelea kula vyakula vya asili vyenye madini yakutosha yanayoimarisha MIFUPA
*3โฃ Acha au punguza matumizi ya pombe
*4โฃ Fanya mazoez ya kutosha na kunywa maji ya kutosha
ATHARI
*ZINAZOSABABISHWA NA TATIZO HILI
1โฃMifupa kuvunjika kwa urahisi.
*2โฃkupinda mgongo wakati wa uzeeni
*3โฃMaumivu makali ya Mifupa hasa ktk uti wa mgongo,mabegani,kifuani na ktk nyonga.
*Karibu sana*๐ต๐ฐ๐ฒ๐ผ๐บ๐จ๐ฐ๐ซ๐ฐ๐ฌ ๐ท๐ฐ๐ฎ๐จ +255766715146 ๐จ๐ผ ๐พ๐ฏ๐จ๐ป๐บ๐จ๐ท๐ท ๐ฒ๐จ๐น๐ฐ๐ฉ๐ผ.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Address
Ilaila Boma Dar Es Salaam
Dar Es Salaam