Double H Cosmetics

Double H Cosmetics

Share

Sellers of quality and original cosmetics in a reasonable prices. Major Distributor PORTIA M products
Your beauty is our biggest concern. Stay cute

08/08/2026

Heri ya Siku ya Nane Nane!

Leo tunatambua na kuthamini juhudi, bidii na mchango wa wakulima katika kukuza uchumi na kuhakikisha tunapata chakula kila siku.

🌱Kwa kila mkulima, kazi yako ina thamani na mchango wako ni muhimu kwa taifa letu.

✳️Tusherehekee pamoja juhudi za wakulima wetu, share ujumbe huu!

06/08/2026

Fanya ngozi yako kuwa nyororo na yenye kung'aa kwa kutumia Naomi Shower Scrub Gel

✅Inasaidia kusafisha ngozi kwa kina, kuondoa seli zilizokufa na kukuachia muonekano wa kuvutia.

💰Inapatikana kwa Tsh20,000/= tu

📍Agiza sasa ujipatie yako leo

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

06/08/2026

Ngozi safi na yenye unyevunyevu huanza na utunzaji sahihi.

✨ Tumia Portia M Pomegranate Body Scrub kuondoa seli zilizokufa, kisha malizia na Body Lotion kulainisha na kuipa ngozi unyevunyevu wa muda mrefu.

📍Bei zake
💰 Body Lotion: 25,000 TZS
💰 Body Scrub: 18,000 TZS

Agiza sasa ujipatie bidhaa yako pendwa

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

05/08/2026

Ngozi yako inastahili kilicho bora!

✅ Pata lotion, body butter, mafuta na sabuni za Harleen M kutoka Double H Cosmetics kwa ajili ya kung'aa na kulinda asili ya ngozi yako.

📍 Fika dukani kwetu leo tukuhudumie!

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

04/08/2026

Anzisha siku yako kwa nishati safi na harufu nzuri itakayokupa hamasa siku nzima! 🚿✨

📍Chagua Adidas Shower Gel inayokupa burudani ya kipekee wakati wa kuoga huku ikitunza ngozi yako vizuri.

💰Inapatikana kwa bei safi kabisa ya Tsh 10,000/= tu!

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

04/08/2026

Karibuni sana dukani kwetu Double H Cosmetics kwa ajili ya kupata bidhaa bora zitakazofanya ngozi yako kuwa ya kipekee na yenye afya njema!

👇Tunakuletea bidhaa matata za HarLeen M
✳️HarLeen M Pomegranate Seed Oil – Tsh 28,000/= (Inalainisha na kuondoa michirizi).

✳️HarLeen M Moisturising Lotion – Tsh 25,000/= (Inazuia ukavu na kutunza ngozi

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

03/08/2026

Bado unajiuliza k**a mwenye ngozi ya mafuta unaruhusiwa kupaka moisturizer?

✅Jibu ni Ndiyo! Ukikosa unyevu sahihi, ngozi yako inajilinda kwa kuzalisha mafuta zaidi na kusababisha chunusi na mng'ao mbaya.

✳️Paka moisturizer yako asubuhi na usiku kabla ya kulala ili uwe na ngozi yenye afya na muonekano wa kuvutia!

👆Usiache kutufollow kwa tips zaidi za urembo na masuala ya ngozi

01/08/2026

Mwezi huu wa Agosti ukawe wa fursa za kipekee kwako za kuleta mabadiliko!

✨ Hapa Double H Cosmetics tunajivunia kuwa sehemu ya safari yako ya urembo na kujiamini. Jiandae kung'aa zaidi, kupendeza zaidi, na kuacha alama kila uendako mwezi huu.

👉Weka oda yako leo au fika dukani kwetu ujipatie bidhaa zetu bora zitakazokupa nuru ya kipekee.

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

01/08/2026

Boresha muonekano na usafi wako wa kila siku na Belux The One (Shampoo and Shower Gel) maalum kwa ajili ya mwanaume anayejijali! 🧔✨

✳️Inakupa urahisi wa kutumia sabuni ya kuogea na shampoo kwa wakati mmoja, ikikuacha na harufu nzuri ya kiume na safi inayodumu siku nzote.

📍Inapatikana hapa Double H Cosmetics kwa bei nafuu kabisa

📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Sinza Kumekucha
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00