Double H Cosmetics
Sellers of quality and original cosmetics in a reasonable prices. Major Distributor PORTIA M products
Your beauty is our biggest concern. Stay cute
08/08/2026
Heri ya Siku ya Nane Nane!
Leo tunatambua na kuthamini juhudi, bidii na mchango wa wakulima katika kukuza uchumi na kuhakikisha tunapata chakula kila siku.
🌱Kwa kila mkulima, kazi yako ina thamani na mchango wako ni muhimu kwa taifa letu.
✳️Tusherehekee pamoja juhudi za wakulima wetu, share ujumbe huu!
Fanya ngozi yako kuwa nyororo na yenye kung'aa kwa kutumia Naomi Shower Scrub Gel
✅Inasaidia kusafisha ngozi kwa kina, kuondoa seli zilizokufa na kukuachia muonekano wa kuvutia.
💰Inapatikana kwa Tsh20,000/= tu
📍Agiza sasa ujipatie yako leo
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
06/08/2026
Ngozi safi na yenye unyevunyevu huanza na utunzaji sahihi.
✨ Tumia Portia M Pomegranate Body Scrub kuondoa seli zilizokufa, kisha malizia na Body Lotion kulainisha na kuipa ngozi unyevunyevu wa muda mrefu.
📍Bei zake
💰 Body Lotion: 25,000 TZS
💰 Body Scrub: 18,000 TZS
Agiza sasa ujipatie bidhaa yako pendwa
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Ngozi yako inastahili kilicho bora!
✅ Pata lotion, body butter, mafuta na sabuni za Harleen M kutoka Double H Cosmetics kwa ajili ya kung'aa na kulinda asili ya ngozi yako.
📍 Fika dukani kwetu leo tukuhudumie!
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
04/08/2026
Anzisha siku yako kwa nishati safi na harufu nzuri itakayokupa hamasa siku nzima! 🚿✨
📍Chagua Adidas Shower Gel inayokupa burudani ya kipekee wakati wa kuoga huku ikitunza ngozi yako vizuri.
💰Inapatikana kwa bei safi kabisa ya Tsh 10,000/= tu!
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Karibuni sana dukani kwetu Double H Cosmetics kwa ajili ya kupata bidhaa bora zitakazofanya ngozi yako kuwa ya kipekee na yenye afya njema!
👇Tunakuletea bidhaa matata za HarLeen M
✳️HarLeen M Pomegranate Seed Oil – Tsh 28,000/= (Inalainisha na kuondoa michirizi).
✳️HarLeen M Moisturising Lotion – Tsh 25,000/= (Inazuia ukavu na kutunza ngozi
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Bado unajiuliza k**a mwenye ngozi ya mafuta unaruhusiwa kupaka moisturizer?
✅Jibu ni Ndiyo! Ukikosa unyevu sahihi, ngozi yako inajilinda kwa kuzalisha mafuta zaidi na kusababisha chunusi na mng'ao mbaya.
✳️Paka moisturizer yako asubuhi na usiku kabla ya kulala ili uwe na ngozi yenye afya na muonekano wa kuvutia!
👆Usiache kutufollow kwa tips zaidi za urembo na masuala ya ngozi
01/08/2026
Mwezi huu wa Agosti ukawe wa fursa za kipekee kwako za kuleta mabadiliko!
✨ Hapa Double H Cosmetics tunajivunia kuwa sehemu ya safari yako ya urembo na kujiamini. Jiandae kung'aa zaidi, kupendeza zaidi, na kuacha alama kila uendako mwezi huu.
👉Weka oda yako leo au fika dukani kwetu ujipatie bidhaa zetu bora zitakazokupa nuru ya kipekee.
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Boresha muonekano na usafi wako wa kila siku na Belux The One (Shampoo and Shower Gel) maalum kwa ajili ya mwanaume anayejijali! 🧔✨
✳️Inakupa urahisi wa kutumia sabuni ya kuogea na shampoo kwa wakati mmoja, ikikuacha na harufu nzuri ya kiume na safi inayodumu siku nzote.
📍Inapatikana hapa Double H Cosmetics kwa bei nafuu kabisa
📌Wasiliana nasi kwa
📞+255 753 790 790 Sinza Kumekucha
📞+255 752 000 039 Makumbusho
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Sinza Kumekucha
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |