AFYA TIPS
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA TIPS, Health/Beauty, Dar es salaam, Arusha.
π― Mtaalam wa matatizo ya mmengβenyo.
π₯ Acid Reflux | Gesi Tumboni | Koo | Vidonda Tumbo | Bawasili*
π₯ Lishe bora kwa afya njema*
*π² WhatsApp kwa ushauri: +255742211518*
UNACHAGUA WEWE JIKO LAKO LIWE
MOTO WA TUMBONI
AMANI YA TUMBO
This is Hassan mansoor
VITA KALI TUMBONI π₯π€¦ββοΈ
CHAKULA HAKIPITI HADI UMEZE MAJI!??
HIVI NDIVYO ACID HUTOKEA
LES.....Ndio hutofautisha mtu anaeumwa na asie umwa
Ili upone Acid Reflux
Unatakiwa kuiponya LES...
Huboresha mmeng'enyo wa chakula β Zina nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia chakula kusogea vizuri kwenye utumbo.
Hupunguza kufunga choo β Fiber husaidia kufanya choo kiwe laini na kutoka kwa urahisi.
Hulisha bakteria wazuri wa utumbo β Hii husaidia afya ya utumbo na kuboresha mmeng'enyo.
Zina vitamini na madini muhimu β K**a vitamini A, C, K, folate na madini k**a magnesium, ambayo huchangia afya ya mfumo wa mmeng'enyo.
Husaidia kupunguza uvimbe wa mwili β Mboga nyingi za majani zina viambato vya asili vinavyoweza kusaidia kupunguza uchochezi (inflammation).
Kumbuka: Ikiwa una tatizo la acid reflux au tumbo kujaa gesi kwa urahisi, mboga za majani zenye nyuzinyuzi nyingi zinaweza kukusumbua zikiliwa mbichi. Mara nyingi ni bora kuzila zikiwa zimepikwa vizuri na kuanza kwa kiasi kidogo ili kuona mwili wako unavyozitumia.
This is Hassan mansoor
Ukiumwa acid unaweza kupima vipimo vyote na usione tatizo π€¦
Esophagus (kwa Kiswahili: umio) ni mrija wa misuli unaounganisha koo (pharynx) na tumbo (stomach). Kazi yake kuu ni kusafirisha chakula na vinywaji kutoka mdomoni kwenda tumboni.
Kwa kifupi:
Urefu wake ni takribani sentimita 25 kwa mtu mzima.
Baada ya kumeza, misuli ya umio hukaza na kulegea kwa mpangilio (peristalsis) ili kusukuma chakula kwenda tumboni.
Mwishoni mwa umio kuna misuli maalumu inayoitwa Lower Esophageal Sphincter (LES). Hufunguka chakula kinapoingia tumboni na hufunga ili kuzuia tindikali ya tumboni isipande kurudi kwenye umio.
Umio unaweza kupata matatizo gani?
Acid Reflux (GERD): Tindikali ya tumboni hupanda na kuunguza umio.
Esophagitis: Kuvimba kwa umio, mara nyingi kutokana na reflux, maambukizi au dawa.
Stricture: Umio kuwa mwembamba na kufanya kumeza kuwa kugumu.
Saratani ya umio: Ingawa si ya kawaida, inaweza kutokea, hasa kwa watu wenye vihatarishi fulani.
NINAFAHAM KABISSA KILA MTU ANATAMANI KULA K**A HIVI HILO HALIPINGIKI KABISSA ASA LEO NATAKA NIKUPE MOYO
IPO HIVI
KULA KUKU WA KISASA SIO TATIZO
KUNYWA SODA SIO TATIZO
KULA NYAMA SIO TATIZO
KULA CHIPS SIO TATIZO
KULA PILAU AU BIRYAN AU CHOCHOTE UNACHOKIJUA SIO TATIZO.NOOOO
TATIZO NI KUWA UKISHATUMIA MARA MOJA UNANOGEWA UNAJIKUTA UNATAKA KUTUMIA KILA SIKU
UNAJIKUTA HAM HAIISHI SASA UNAPOTUMIA KILA SIKU NDIO MATATIZO YANAANZIA HAPO
NIKUULIZE UNADHANI KUNA MTU HANYWI KABISSA AU HAJAWAHI KUNYWA SODA!?? NOO KILA MTU ANAKUNYWA JE KUNA MTU HALI KUKU BROILER NOO TUNAWALA SANA HAWA KUKU ILA UTOFAUTI WETU NI VITU 3
1>MAZOEZI (UNAKULA VIBAYA ILA HUFANYI MAZOEZI
2>UNAKULA KILA SIU HAUNA MPANGILIO (MWENZAKO ANAKULA ILA KWA MPANGILIO)
3>AKIUMWA HATUMII KABISSA HADI AJIHAKIKISHIE YUPO SAWA (ILA WEWE UNAKULAGA TU HAUJALI CHOCHOTE
ANZA KUWA BORA KUFATILIA KILA MLO WAKO NA MUHIM ZINGATIA HIVO VITU 3
NB:K**A UNAUMWA ACID AU VIDONDA AU KOO USIGUSE HIVO VITU HATA KUONJA TU USIONJE π
Je chakula gani kinakusumbua!?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |