Bahari Fm
The coastal market woke up in September 2008, to a new station from Royal Media Services. Bahari FM’s tag line is Nuru ya Roho’
The word “Bahari” is the Kiswahili term for ocean, giving the station an immediate identity to the coastal people.
13/08/2026
Alhamisi ndiyo siku k**a ile Siku, jiandae kwa awamu mbili tukilikunja Jamvi la siku.
13/08/2026
Maumivu ya kifua ni shida ya kawaida na inaweza kutokea kwa sababu nyingi. Inaweza kuhisi k**a shinikizo, kuchoma, au mkazo katika kifua chako.
13/08/2026
Choo maalumu chabuniwa kwa ajili ya wanandoa wanaopenda kujisaidia pamoja.Choo hicho kinajulikana k**a TwoDaLoo.
Choo hicho kina vyoo viwili kinaruhusu watu wawili kutumia kwa wakati mmoja. Wabunifu wake wakielezea kuhamasisha mazungumzo na ukaribu zaidi kati ya wanandoa na pia kuokoa maji kwa kutumia mfumo mmoja wa kusukuma maji.
Wakati baadhi ya watu wanakiona k**a ubunifu wa kufurahisha unaoweza kuimarisha ukaribu katika mahusiano, wengine wanaamini kuwa msalani ni sehemu ya faragha binafsi na si vyema kubadilishwa kuwa eneo la matumizi ya pamoja.
13/08/2026
Kuweka kitu chenye baridi, k**a kipande cha barafu, nyuma ya shingo kunaweza kusaidia kupunguza hisia za wasiwasi na msongo wa mawazo kwa muda.
Njia hiyo hufanya mwili kuitikia hali ya baridi, jambo linaloweza kusaidia kuuelekeza mwili katika hali ya utulivu na kuondoa umakini kutoka kwenye mawazo yanayosababisha msongo.
Hata hivyo, wataalamu wanaeleza kuwa si tiba iliyothibitishwa ya matatizo ya wasiwasi, bali inaweza kutumika k**a njia ya haraka ya kujituliza wakati mtu anapohisi amezidiwa na hisia
13/08/2026
K**a huingizi kiasi wanachoingiza wao,basi wacha kutumia k**a wanavyotumia.Karibu tumumunye uthamu ndani
Click here to claim your Sponsored Listing.
Telephone
Website
Address
Nairobi