Elly Wanjala
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Elly Wanjala, Health/Beauty, Nairobi.
05/08/2026
On Friday bois wangu called and goes like "vipi bro, hii weekend nataka nipeleke familia mahali safe waone lions, nùgù, cheetah na nyonde sampli ya cùcù wa njokà😅" nikwambia "say no more".
Sasa si the only place ni hapo National park? Nikampea direction namna msuri vile ataenda na kulipa alafu baas mimi nikaenda zangu.
Jamaa ananipigia simu leo ananiambia ati lion hazikua, nikashindwa kwani zinaendanga mid term? He says the only thing he saw ni nugu na zilikua zinawanyang'anya chakula yao. Pia kulikua na bush na watu wanapita.
Hapa nikajua ju jokopai alienda city park buana. Kule ndio nugu wanaeza wekelea wewe kangeta ushangae. Nugu ikona mpaka pension na six pack, hapana chesa.
03/08/2026
Some of you mnakuanga very non chalant when it comes to spiritual nourishment and faith.
Ile siku utapanda ndege alafu uskie pilot amesema "This is the Captain Speaking, Brace for impact" . Hapo utajua you can speak in over 200 languages na unaeza omba buana.
Utaomba mpaka Buddha na Krishna, hapo mambo ya "I don't believe in Supreme being haitakua"
Utasema kila kitu Omwana wefwe omlai papa
Chesa.
02/08/2026
Pale Jai kei aieee mambo nayo haikuangi rahisi. Unaingia tu vizuri unasema "dakika tatu nichukue mtu 1A nikuje" jamaa nods in agreement.
Unakimbia na within 2 minutes you're back. Ukienda kuingia unapatana na dunga buana. Unashindwa namna gani wameeka bobi trap kwa gari. Unaangalia vizuri just to confirm k**a uko Saigon.
Ule jamaa uliacha anarudi but this time amevaa reflector na akatoa kofia. Anakuuliza "shida iko wapi mkubwa" you hesitate to answer ju this is the person umeacha hapa tu sai. "Hawa jamaa ni chai tu ju ya baridi" he whispers.
Hapa unatokanga k**a umefura mithili ya mandas. Ata unasahau kulipa parking kwa exit mangai.
K**a hutaki comedy mingi na side shows wekanga gari pale garage na mambo itakua njema.
chesa
02/08/2026
Yaani hii mambo ya kuhang kwa matatu mshafunza mpaka watalii buana?😅
31/07/2026
Aberdare is very beautiful, hapa ukiwa na familia mambo inakua shwari. The only down side ni climate, huku baridi nayo sio mcheso, jua imewaka lakini baridi inaingia kwa pancreas buana.
Drinking water also flows from the ranges, cold ta sèrê but very sweet. K**a hujazoea you don't go swimming everywhere, utaingia kwa maji upatane na mayai waziri wa baridi. Maji nik**a imetolewa kwa fridge.
Kule ata Bosko huwa abark " wu wu wu" huwa anabark "woi woi, inò hèhò nigùtùragà maaa"
Chesa.
30/07/2026
During prime Kawere, ulikua unafika Busia kwanza watu wanachinja Ingokho ju hawaamini ni wewe buana.
"Si umetwangako ruununu saa tatu kasorobo ukasema uko angali Kangemi?" Ei vane matemo "sasa ni saa saba na uko hapa?"
Hii ni unapanda alafu unaandika will, sufuria na vikombe unagawa vizuri. Ukifika salama unashukuru Mungu. Kwanza upate wakipeperushana na ile ingine nimesahau jina yake, safari inakua ya wafilisti.
Gari ilikua tu inaondokea mashimo na pole za stima, we ukiiona ni utoke mapema uskue kwa bulletin usiku.
Kawere tawe.
kuwakumbusha tu😆 this is your best story teller, yaani riba za mtaa na za mayolo zote zinakufikia 😂😂
piga share, like en comment, pia recommend page tujaze followers mangai
30/07/2026
This place doesn't change at all. Hii picha walitwanga around 60s or 70s. Sai ukipita hapo hali iko namna ile Ile, kitu imeongezeka tu ni mkojo.
Hapa pia sio mcheso, vijana washai k**ata mimi ngeta hapa namna hatari. Nilikua nimetoka mishemishe zangu around 5 a.m on a Saturday. Kupinduka namna hii niliona tu mkono ya Van damme kwa shingo, wale vijana walipapasa my vocal chords buana.
Niliskia tu kitu baridi kupenduka kofi msuri mangai na hivo ndo neon kicka yangu iliniacha...hapa labda nipite na mbogi.
Usipite hii route usiku ama asubui sana, stay guided buana, hapa wakora wameenda gym mangai.
30/07/2026
Wazee I did not know that kuna bike meet and drives in this duniya. Yaani tunapatana tuna saikoo, tunapiga dufo mpararo alafu tunarudi home? Ni kiùndù maveras.
Hapa ata heri nitafte blak mamba nikuje sasa. Place k**a hii hakuna mambo mingi. Sio k**a ile ingine watu wanakuja na bike za 2.5 mirrions mangai. Bike imeekwa calipers zimeandikwa Brembo.
Sasa yenye imebaki kuona ni ya watu wa Utawala wakishikana watembee wakifanya tizi buana. Hii nitawaunga mkifika Thika rd, hiyo vumbi siwezani aki.
30/07/2026
There was this shoe called Supra buana. Nilikua naona Prezo kwa indafiu akisema "This just cost me 34 gs you know" naskia kuanguka. Yaani hiyo ni ndama tatu na kondoo mnavaa kwa mguu?
Between 2008 and 2012, pale hunting market ilikua ngumu saidi bila hizi Supra. Pale kitu ungetoboa labda maskio mangai. Mababi walikua wanaingia sokoni wanakuja na hizi za purple, wanapepeta soko mzima wanatuachia kina Lukaku buana.
Uzuri nazo Supra zilikua zinachapa k**a maziwa. Unapata kiatu imeangusha sole k**a Xtrail.
Hapo sasa ndio sisi tulianza kuingia soko.
K**a ulimanage kuvaa Supra hizi miaka lasma we ni dainasti.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Nairobi