HealthyMe
We teach you about causes, symptoms and prevention methods using nutritional products.
09/01/2024
PELVIC INFLAMMATORY DISEASES.
UGOJWA WA UCHOCHEZI WA PELVIC ( PID).
Ni moja kati ya sababu zinafanya mwanamke asipate UJAUZITO.
Inasababishwa Na bakteria( vidudu) vinavyo sambaa bila kizuizi kutoka Kwa UKE kupitia KIZAZI mpaka njia ya kizazi.
Vidudu hivi huleta MAAMBUKIZI yenye huleta UVIMBE WA..
(1) Mfuko wa kizazi
(2) Mrija wa fallopian
(3) Ovari
(4) Na uvimbe ndani ya tumbo ( lining)
DALILI ZAKE NI GANI?
๐ Kuhusi uchungu wakati wa tendo la ndoa.
๐ Kuchomwa wakati unaenda haja ndogo
๐ Kutokwa damu, sana sana wakati wa tendo Na pia katikati ya siku za mwezi ( irregular periods).
๐ Maumivu ya uti wa mgongo( nyuma) wakati mwingine husambaa kote.
๐Kutoa uchafu usio wa kawaida wenye harufu mbaya wakati mwingine hua bila harufu.
INALETWA NA NINI?
(1) Vidudu
(2) Magojwa ya zinaa k**a gonoria
(3) Uharibifu wa kizazi pale unapo Avya mimba( abortion)
au Wakati wa kujifungua.
(5) Kuharibika Kwa mimba ( miscarriage)
Kwa tiba Na elimu kuhusu kuzuia magojwa jiunge Na program TCM WhatsApp number. 0750267826. ( Nutritionist)
06/01/2024
MWANAUME, HIZI NI
DALILI 7 ZINAZOENYESHA UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME.
1) Ukienda safari moja mwili wachoka alafu unahisi usingizi.
(2) Sehemu za siri zinasinyaa taratibu baada ya goli la Kwanza.
3) Mwili unahisi ganzi pamoja Na sehemu nyeti.
4) Hamu inakata gafla baada ya kutoa manii ( semens)
5) Nyeti zinasimama vizuri lakini ukitaka kuingiza Kwa mwanamke zinasinyaa. Hapa wengi hudhani wamerogwa.
6) Ukishindwa kurudia mara ya pili baada ya goli la Kwanza. Machine inakata moto haisimami tena hata ufanyeje inazidi kulala.
7) Machine kulala ndani ya nyeti za mwanamke wakati upo katikati ya mechi, mzigo unalala gafla Na kulegea ndani Kwa ndani.
Follow us on Facebook Health talks.
KWA TIBA WhatsApp US 0750267826 ( Nutritionist)
04/01/2024
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwembe Tayari
Mombasa