WpCo Updates
WpCo Football Update
18/08/2026
Wata player tunalo na tunatamba nalo. Linasubili kukiwasha kwenye klabu Bingwa tarehe 4-6 mwezi wa tisa
💬WADAU MNALIONAJE?
17/08/2026
📢Wadau Bora kucheza na Force number 9 Kuliko kuendelea kumvumilia huyu jamaa Yetu Dumbia jamaniiiiii.
💬AU MNASEMAJE WADAU KWENYE COMMENT
16/08/2026
Kiwango cha beki wa kulia wa Young Africans (Yanga SC), Yao Kouassi Attohoula, baada ya kuwa nje kwa muda mrefu (zaidi ya mwaka mmoja kutokana na majeraha ya goti na upasuaji), kimerudi kwa kishindo kikubwa na kiko katika ubora wa juu sana.
Amerejea uwanjani akicheza kwa kiwango cha daraja la juu (top quality) na kuonyesha utulivu, spidi, na uwezo mkubwa wa kukaba na kushambulia k**a ilivyokuwa kabla hajaumia.
Wanayanga wanajivunia kiwango chake
Ushindi kwa Mnyama
Full Time: Kagera Sugar 0-2 Simba Sc
16/08/2026
Ni furaha iliyo je? Kujiunga na MABINGWA WA MDAA WOTE Young Africans Sports Club.
Selemani Mwalimu Alikaribisha na kombe la kufungulia msimu la NGAO YA JAMII 2026/2027
Dakika 30'
Simba 0-0 Kagera Sugar
🫴
Dumbia Anatakiwa Akose ngapi ila ashinde⏪
16/08/2026
Yanga inatumia uwezo mkubwa wa kifedha na uwekezaji thabiti kutoka kwa wadhamini wake kuvutia nyota wakubwa kutoka Simba SC, k**a inavyodhihirishwa na usajili wa wachezaji na benchi la ufundi waliowahi kutumikia klabu hiyo pinzani, jambo ambalo linapaswa kuwahamasisha mashabiki na wapenzi wa soka kushuhudia ushindani huu mkubwa wa kihistoria unaozidi kukuza thamani na burudani ya soka letu la Tanzania.
Sasa wameamua kumchukua kibabe Selemani Mwalimu kibabe
💬WANASIMBA HII ITAISHA LINI WADAU NA SISI TUANZE KUCHUKULIA KIBABE KUTOKA Young Africans Sports Club
WpCo Updates
16/08/2026
📢Keletso Makgalwa kupitia uwezo wake wa kucheza nafasi ya winga na kiungo mshambuliaji, anaonekana kuwa mchezaji mwenye kasi, chenga za hatari na uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi na kupiga pasi za mwisho zitakazosaidia kuongeza tishio kwenye eneo la ushambuliaji la Wekundu wa Msimbazi.
💬 UNAMZUNGUMZIA JE? HUYU KELETSO MAKGALWA
📣 K**A UNGEKUWA KOCHA UNGEANZA NA OURA AU KELETSO?
16/08/2026
📢Tunaitakia kheri Simba SC katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar, wakianza msimu kwa ushindi na kuanza safari yao ya ubingwa kwa nguvu kubwa.
🫴Kila kheri kwa Wekundu wa Msimbazi katika uwanja ugenini dhidi ya Kagera Sugar
🫴Wachezaji waoneshe kiwango bora na kujituma kwa dakika zote 90.
🫴Mashabiki wajitokeze kwa wingi kutoa sapoti kubwa na ya kistaarabu.
🫴Mwamu*i atende haki ili mchezo uwe wa kuvutia na wenye ushindani wa kweli.
💬NENO MOJA KWA MNYAMA KUELEKEA MECHI HIYO
16/08/2026
Mtengenezaji wa jezi za United Sports Club ambae ameshindwa ubunifu kiasi cha kufanya u*i wa njano wa wakusanya kodi kufanana na ule wa Young Africans Sports Club anapaswa kushushwa chati kwa ukosefu wa maono, huku akiachwa achunguzwe na kitengo cha makosa ya kimtandao au afisa ushuru kwa kosa la 'kuficha utambulisho' uwanjani!
WpCo Updates
Click here to claim your Sponsored Listing.