Mr.noname
KARIBU UJIPATIE KINGA NA TIBA YA MAGONJWA MBALIMBALI KWA NJIA YA VIRUTUBISHO.
23/03/2025
Common complication of poorly managed diabetes, usually caused by poor blood circulation,nerve damage & infections which always weaken the immune system.
Management of blood sugar is vital.
Contact:0781052052
20/03/2025
Are you still suffering from Diabetes...?
Expect a huge overall health change when we'll deal with your Cardiovascular system, Immune system, Digestive system & Reproductive system. Call:- 0781052052
19/03/2025
Ukinzani wa Moyo jinsi unavyotoa na kuongoza damu ktk Mishipa ya moyo na kuisambaza sehemu mbalimbali za mwili,ni moja ya chanzo ya changamoto ya Moyo na mishipa(Cardiovascular problems)
Inaweza kuleta:
- Shinikizo la damu (Hypertension)
- Magonjwa ya moyo (Heart diseases)
- Kiharusi (Stroke) n.k
0781-052052
18/03/2025
26/02/2025
P.I.D (PELVIC INFAMATORY DISEASE):
P.I.D ni maambukizi kwenye via(viungo) vya uzazi vya mwanamke ikiwemo mji wa mimba(uterus),mirija ya uzazi(fallopian tubes) na ovari.
Visababishi vya P.I.D:-
Mara nyingi P.I.D hutokana na magonjwa ya zinaa k**a Chlamydia au/na Gonorrhea, lakini pia inaweza kusababishwa na bakteria wengine waliopo ukeni.
Dalili za P.I.D;
- Maumivu ndani ya tumbo au chini ya kitovu.
- Kuhisi baridi na Homa kali kupanda
- Kichefuchefu na kutapika
- Maumivu na kuhisi kuungua wakati wa kukojoa
- Maumivu wakati wa tendo la Ndoa
- kutokwa na uchafu usio wa kawaida na wenye harufu
- Hedhi isiyo ya kawaida au kuwa na hedhi ya matone matone au maumivu makali katika muda wote wa hedhi
Madhara ya P.I.D ni pamoja na;
- Ugumba(Infertility):-Maambukizi yanaweza kuharibu mirija ya uzazi na kuzuia mimba kushika
- Ujauzito nje ya kizazi(Ectopic pregnancy) :-Mirija ya uzazi inapoharibiwa ,mimba inaweza kujishika mahali pasipostahiki au pasipofaa
- Maumivu ya nyonga hasa ya muda mrefu
- Jipu au majipu kwenye mfumo wa uzazi
Namna ya kujikinga na P.I.D ni pamoja na;
- Kufanya uchunguzi wa magonjwa ya zinaa mara kwa mara
- Kutumia dawa k**a Daktari alivyoelekeza ikiwa kuna maambukizi
- Ngono salama,na
- Kuepuka kuwa na wapenzi wengi
26/02/2025
FIBROIDS AU MYOMA:
Hii ni vivimbe au uvimbe unaoota kwenye kizazi (Uterine fibroids). Uvimbe huu unaotokea kwenye tumbo la uzazi ambao unaweza kuwa ndani ya kizazi yaani ukutani mwa kizazi au ndani ya nyama ya kizazi au nje kwenye kuta ya kizazi
Chanzo;
Kitaalamu chanzo hasa cha fibroids ktk viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieweki vizuri,ingawa inaaminika kila uvimbe wa fibroids unatokana na seli ya misuli ya fibroids ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kukua kwa haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya Estrogen.
Madhara ya fibroids ni pamoja na:-
- Maumivu ya nyonga na/au mgongo
- Maumivu makali wakati wa hedhi na ya muda mrefu
- Ujauzito kuharibika
- Kutokupata kabisa Ujauzito
- Anemia, kutokana na kutokwa na damu nyingi kipindi cha hedhi au kipindi cha Ujauzito
- Kuvimba tumbo kutokana na uvimbe kuwa mkubwa
Matibabu ya Fibroids:-
1) Dawa
Dawa hutumika kuthibiti homoni ili kupunguza ukuaji wa vivimbe.
2) Upasuaji
Upasuaji wa Myomectomy (kuondoa uvimbe) au Hysterectomy (kuondoa mfuko wa uzazi) endapo uvimbe ni mkubwa na unasababisha matatizo.
3) Utaratibu wa Kisasa
Matibabu k**a UFE(Uterine Fibroids Embolization) ili kupunguza mzunguko wa damu kwenye uvimbe hivyo kuupunguza.
Fibroids/Myomas sio Saratani,lakini inaweza kuwa na maumivu makali na kusababisha uvujaji wa damu na dalili nyingine.
Ushauri: Uchunguzi wa mapema na mtindo wa Maisha wenye Afya hupunguza hatari ya tatizo hili.
21/01/2025
CHANGAMOTO YA UGONJWA WA FIGO:
Figo ni kiungo ambacho hufanya kazi muhimu kwa kuweka miili yetu safi na yenye afya kutokana na uwezo wake wa kutoa uchafu na sumu.
Ingawa kazi ya misingi ni kutoa uchafu mwilini pia hufanya kazi muhimu ua kusawazisha Presha ya damu,kuweka ujazo sawa wa maji maji na viini vingine sawa ktk mwili yaan balanced fluid & electrolytes.
Kwa miaka ya hivi karibuni kumejitokeza wagonjwa wengi wa Kisukari na Shinikizo la damu ambayo imeleta idadi kubwa ya wagonjwa wanaougua ugonjwa sugu wa figo.Hii inatufanya tuwe na msukumo mkubwa zaidi wa kuelewa magonjwa sugu ya Figo,Kinga yake,na matibabu ya mapema.
Figo yaweza kusababisha matatizo makinwa au hata mauti endapo ikishindwa kufanya kazi yake.Kazi zake mbili muhimu ni kutoa uchafu unaoathiri mwili na wenye sumu na kuweka usawa wa maji maji,madini na kemikali.
Baadhi ya dalili ugonjwa wa Figo ni pamoja na;
- Kuvimba uso,miguu na tumbo
- Kukosea hamu ya chakula, kichefuchefu na kutapika
- Shinikizo la damu kuwa juu (Hypertension)
- Anemi (ukosefu wa damu) na kuwa dhaifu
- Changamoto kwenye mkojo
Utambuzi wa changamoto ya Figo:
Ni vyema k**a una shida ya figo kulingana na dalili tajwa hapo juu na nyingine nyingi kufanyiwa uchunguzi kwa ajili ya utambuzi wa haraka na mapema kwani iwapo ikitambulika mapema inaweza kutibika kwa urahisi zaidi na kadiri unavyokua ndivyo na gharama ya matibabu yake huwa juu.
Walio kwenye hatari ya ugonjwa huu ni pamoja na;
- Magonjwa wa kisukari
- Presha (shinikizo la damu)
- Historia ya familia
- Mvutaji tumbaku(sigara),mtu mnene sana
- Mtu aliyetumia dawa za muda mrefu za kutuliza maumivu
Kwa msaada wa ushauri na matibabu wasiliana nami kwa namba 0781 052 052
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
322