BN cosmetics

BN cosmetics

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from BN cosmetics, Beauty, cosmetic & personal care, Tabata segerea, Dar es Salaam.

"✨ BN Cosmetics ✨
🔥Bn cosmetics ni wauzaji wa mafuta na vipodoz vizuri na original 🔥
📍 Tunapatikana Dar es Salaam
☎️ Piga/DM/WhatsApp +255 764 780 973

🌟 Fanya ngozi iwe na mwonekano mzuri na Kuvutia mda wote 🌟"

Photos from BN cosmetics's post 06/01/2025

Una michiriz na unamadoa unahitaji kuondokana na hilo tatizo bas hiz ukitumia kwa mara moja ukazichanganya suluisho lako litakuw limepatika utapata glowing skkn ya ajabu ma madoa yatapota na michiriz hutoion tena

02/01/2025

Hii kitu ni kiboko ya takataka zote mwilin ukipata haya mafut unakuja kunishukuru baday kwanza ni mafuta mazur hii d&w ni nzur sana kwan
⚡️inasaidia kung’arisha ngozi na kukupa rangi moja mwili mzima
⚡️inasaidia kuondoa makunyanzi mwilini
⚡️rangi ya kitajiri hapa ndo mahala pakee
⚡️madoa na michirizi inasafisha kabisa
⚡️inakupa muonekano wa kitajiri kabisa
Uwahi mapem zimebaki chache sana
✨Serum -25,000/=tsh
✨face cream 35,000/=tsh
✨body lotion- 50,000/=tsh
✨body oil - 35,000/=tsh

19/12/2024

Hii tonner ukiikosa umekosa mambo mengi sana kwa sababu inakaz nyingi mnoo
⚡️inasaidia kusafisha na kuondoa sell zilizokufa kwenye ngozi
⚡️inasaidia kuondoa madoa sehem sumbufu kma uson ,makwapan na pia katikati ya mapaja
Usikose hiii bidhaaaa utakosa mambo mengi fanya uipate kwa 30,000/=tu 🔥🔥

08/12/2024

🔥 PRETTY GLOW🔥

Ngozi Yako Inastahili Mng’ao wa Kipekee! ✨

🌟 Face Cream hii itabadilisha mwonekano wa ngozi yako kwa njia ya ajabu:
✅ Husaidia Kucontrol Mafuta Usoni – Hakuna tena uso wenye kung’aa kupita kiasi 🌿.
✅ Huondoa Madoa kwa Ufanisi – Rejesha ngozi yako safi na yenye usawa 🖤➡️🤍.
✅ Huing’arisha Ngozi Vizuri – Inakuacha na mwonekano wa ngozi inayong’aa na yenye afya 🌟.

💰 Bei ni 30,000/= tu!

➡️ Usikae na ngozi isiyo na nuru wakati suluhisho bora lipo karibu.
📩 DM sasa hivi au tuwasiliane kwa simu:
☎️ 0764 780 973.

’aa

07/12/2024

Ngozi Yenye Mafuta? Hii Seti Itakusaidia! 🧴✨

🌟 Faida za seti hii ya kipekee:
1️⃣ Huondoa Chunusi na Kuzikausha Kabisa – Inakabiliana na chunusi moja kwa moja kwa matokeo bora 💪.
2️⃣ Hucontrol Mafuta Mengi Usoni – Inayo Salicylic Acid, kiungo muhimu kinachosaidia kudhibiti mafuta ya ziada na kuzuia kung’aa kupita kiasi 🌿.
3️⃣ Toner ya Deep Cleansing – Husafisha pores kwa kina, kufungua ngozi, na kuacha uso wako ukiwa safi na fresh muda wote 🧼✨.

🌸 Kila bidhaa imeundwa kukupa ngozi ya ndoto zako:

Serum: 40,000/=

Cleanser: 40,000/=

Toner: 45,000/=

Moisturizer: 40,000/=

💡 Hii seti si ya kukosa k**a unapenda ngozi yako! Pata ngozi safi, yenye afya, na inayong’aa leo.

📩 DM sasa hivi au tuwasiliane kwa simu kupitia:
☎️ 0764 780 973.

06/12/2024

COCOA BUTTER 🔥 COCOA BUTTER 🔥 COCOA BUTTER 🔥

Ngozi Yako, Urembo Wako! ✨

🌟 Faida za bidhaa hii ya kipekee:
✅ Inaacha ngozi yako ikiwa na mng'ao wa kuvutia 🌟.
✅ Huondoa madoa na mabaka mwilini kwa ufanisi 🖤➡️🤍.
✅ Hupunguza mikunjo na michirizi, ukirejesha mwonekano wa ujana 💫.
✅ Haichubui ngozi hata kidogo – salama na rafiki kwa ngozi yako 💖.
✅ Husoftisha ngozi yako, ikikuacha laini k**a mtoto 🧴.

💰 Bei ni 35,000/= tu!

➡️ Sasa unaweza kuwa na ngozi inayong’aa, safi, na yenye afya bila wasiwasi. Ianze leo safari yako ya urembo na bidhaa hii ya ajabu!

📩 DM sasa hivi au tupigie kwa maelezo zaidi!
☎️ 0764 780 973

06/12/2024

FEEDBACK 💥 FEEDBACK 🔥

Akutaka mambo mengi Yeye kaonyesha Tu Maendeleo ambayo amepata baada ya Kutumia Product toka kwa BN cosmetics
Huduma Hii hata wewe unaweza kupata.

Shida au Tatizo unalosumbuka nalo njoo Utuambie Tutakusaidia.

Piga/DM Whatsapp
☎️ 0764 780 973

05/12/2024

Ngozi yako inastahili utunzaji bora! 🥰

Hizi ni Face Mask Ambazo tunakuletea leo.

🌟 Face Mask zetu ni suluhisho la ngozi yenye changamoto:
✅ Husaidia kuipa ngozi yako unyevu unyevu wa kutosha 💧.
✅ Huipoza ngozi kutokana na athari za vipodozi vikali na jua 🌞🔥.

🎨 Chagua kutoka kwenye ladha 4 za kipekee:
1️⃣ 24K Gold – Kwa mng’ao wa kifahari ✨.
2️⃣ Aloe Vera – Kwa utulivu na unyevu wa asili 🍃.
3️⃣ Vitamin C – Kwa ngozi angavu na yenye afya 🍊.
4️⃣ Niacinamide – Kwa ngozi laini na iliyosawazika 🌿.

💰 Bei ni 3,000 tu kwa kila mask!

➡️ Usikubali ngozi yako iendelee kuchoka. Tumia Face Mask hizi leo na ufurahie:
✨ Ngozi yenye unyevu na inayong’aa.
✨ Utulivu wa ngozi hata baada ya athari za vipodozi na jua.

📩 DM sasa au tupigie kwa maelezo zaidi!
☎️ 0764 780 973

04/12/2024

✨Kwanini Kojic Body lotion 🧴
Hii lotion ni suluhisho bora kwa changamoto za ngozi yako:

✅ Inatoa mng’ao mzuri wa ngozi. Ina maana itakufanya uwe na mng'ao wa kipekee kila siku.
✅ Husawazisha ngozi iliyoharibiwa na mionzi ya jua ☀️. Ina maana ukitumia hii huna haja ya kuofia madhara ya jua Tena.
✅ Huondoa dark spots kwa ufanisi mkubwa 🖤➡️🤍 Hivyo itafanya Ngozi kuwa na rangi moja safi..
✅ Husaidia kulainisha na kutakatisha ngozi yako kwa weupe wa kuvutia. Ina maana ngozi yako itakuwa soft na kuvutia sana

Kwa matokeo mazuri zaidi, usiache kutumia sabuni yake pia 🛁🧼!

💰 Bei ni 25,000 tu!

➡️ Achana na ngozi iliyochoka na isiyopendeza. Tumia hii lotion leo na ufurahie:

✨ Ngozi laini na inayong’aa.
✨ Mwonekano wa ngozi uliosawazika.
✨ Kujiamini kunakotokana na ngozi safi na yenye afya.

📩 DM sasa hivi au tupigie kwa maelezo zaidi!
☎️ 0764 780 973

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address

Tabata Segerea
Dar Es Salaam


Impact-Site-Verification: 5f7e650c-011a-4d7e-b989-d3fe8f74c47e