Mwanamke Plus+

Mwanamke Plus+

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke Plus+, Health/Beauty, Morogoro Road, Dar es Salaam.

Nawasaidia Wanawake na Wote Wenye magonjwa sugu kurejesha Afya Zao Kwa Njia ya Asili.

✔ Homoni & Hedhi
✔ UTI, PID & Uzazi
✔ Presha & Moyo
✔ Figo, Kansa & Kisukari

📲 Tuma Neno “AFYA” Kwenda

WhatsApp: +255 755 982 222 Upate Ushauri wa Bure

16/07/2026

Kwa changamoto za Hedhi, Uzazi, Menopause n.k.

Tumia Spidex20 Bidhaa yenye Ubora wa Hali ya Juu sana na Inakupa matokeo ya haraka.

Piga +255 755 982 222 tukuhudumie Leo.

29/04/2026

K**A UNAKOSA HAMU YA TENDO, HII NI YAKO
...Siyo wewe, bali mwili wako unaomba msaada......Kwanza tafuta kujua chanzo cha tatizo hilo na chukua hatua kusaidia mwili yako, unaweza kuanza kufanya mazoezi, kupunguza stress au kutumia herbal (supplements) sahihi.....Pia boresha mawasiliano na mwenza wako, Hali ya hamu ya tendo litarudi k**a kawaida...
Follow Mwanamke Plus+ Kwa elimu zaidi

29/04/2026

JE, UNAPATA UKAVU UKENI? SOMA HAPA...
..Hali hii inaathiri zaidi ya unavyofikiri.

Unaweza kuusaidia mwili wako kurejesha usawa wa homoni...

...hii itafanya upate nafuu kubwa na kurudisha hali yako ya kujiamini (confidence), kuboresha na kuokoa mahusiano yako...
..Ukavu ukeni ni dalili tu, chukua hatua haraka.

👉 Kwa msaada zaidi Tuma neno “UKAVU” kwenye WhatsApp namba 0755 982 222

28/04/2026

Umeshawahi Kucheza Dabi wakati wa Hedhi?

Elewa neno Dabi 😂😂😂

28/04/2026

Je, unafuatilia mzunguko wako wa hedhi au unaacha tu ije bila kujua?

28/04/2026

Mabadiliko ya Homoni yanaweza kusababisha:-

Chunusi
Uzito kuongezeka
Mood swings

👉 Mwili wako huwa unaongea kupitia dalili hizi

Kwa msaada zaidi DM 0755 982 222

28/04/2026

Hali ya Ukavu ukeni inaweza kuathiri tendo la ndo na hali yako ya Kijiamni (confidence)

Mara nyingi huhusiana na kushuka kwa Homoni ya estrogen au stress

Follow Mwanamke Plus+ for more Tips

27/04/2026

“Ukisikia maumivu ya hedhi halafu mtu anakwambia ‘labda ni njaa tu’ 😂”👉 Tag mtu anayesema hivi

27/04/2026

Kupungua kwa hamu ya tendo si “kukosa mapenzi”

Bali Mara Nyingi ni Mwili Unaomba msaada.

Homoni, stress na uchovu vina mchango mkubwa kwenye kusababisha hali hiyo.

Kwa msaada zaidi DM 0755 982 222

27/04/2026

Fahamu Kuwa Mara nyingi UTI huanza kimya kimya.

Unapoacha kunywa maji ya kutosha ambayo ni safi na Salama huongeza hatari zaidi.

👉 Kunywa maji mengi na epuka kujizuia kukojoa pale unapohisi haja ndogo

Follow Mwanamke Plus+ for more tips

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Morogoro Road
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:30
Tuesday 08:30 - 17:30
Wednesday 08:30 - 17:30
Thursday 08:30 - 17:30
Friday 08:30 - 17:30
Saturday 09:30 - 04:00