Mwanamke Plus+
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanamke Plus+, Health/Beauty, Morogoro Road, Dar es Salaam.
Nawasaidia Wanawake na Wote Wenye magonjwa sugu kurejesha Afya Zao Kwa Njia ya Asili.
✔ Homoni & Hedhi
✔ UTI, PID & Uzazi
✔ Presha & Moyo
✔ Figo, Kansa & Kisukari
📲 Tuma Neno “AFYA” Kwenda
WhatsApp: +255 755 982 222 Upate Ushauri wa Bure
Kwa changamoto za Hedhi, Uzazi, Menopause n.k.
Tumia Spidex20 Bidhaa yenye Ubora wa Hali ya Juu sana na Inakupa matokeo ya haraka.
Piga +255 755 982 222 tukuhudumie Leo.
29/04/2026
K**A UNAKOSA HAMU YA TENDO, HII NI YAKO
...Siyo wewe, bali mwili wako unaomba msaada......Kwanza tafuta kujua chanzo cha tatizo hilo na chukua hatua kusaidia mwili yako, unaweza kuanza kufanya mazoezi, kupunguza stress au kutumia herbal (supplements) sahihi.....Pia boresha mawasiliano na mwenza wako, Hali ya hamu ya tendo litarudi k**a kawaida...
Follow Mwanamke Plus+ Kwa elimu zaidi
29/04/2026
JE, UNAPATA UKAVU UKENI? SOMA HAPA...
..Hali hii inaathiri zaidi ya unavyofikiri.
Unaweza kuusaidia mwili wako kurejesha usawa wa homoni...
...hii itafanya upate nafuu kubwa na kurudisha hali yako ya kujiamini (confidence), kuboresha na kuokoa mahusiano yako...
..Ukavu ukeni ni dalili tu, chukua hatua haraka.
👉 Kwa msaada zaidi Tuma neno “UKAVU” kwenye WhatsApp namba 0755 982 222
Umeshawahi Kucheza Dabi wakati wa Hedhi?
Elewa neno Dabi 😂😂😂
Je, unafuatilia mzunguko wako wa hedhi au unaacha tu ije bila kujua?
28/04/2026
Mabadiliko ya Homoni yanaweza kusababisha:-
Chunusi
Uzito kuongezeka
Mood swings
👉 Mwili wako huwa unaongea kupitia dalili hizi
Kwa msaada zaidi DM 0755 982 222
28/04/2026
Hali ya Ukavu ukeni inaweza kuathiri tendo la ndo na hali yako ya Kijiamni (confidence)
Mara nyingi huhusiana na kushuka kwa Homoni ya estrogen au stress
Follow Mwanamke Plus+ for more Tips
“Ukisikia maumivu ya hedhi halafu mtu anakwambia ‘labda ni njaa tu’ 😂”👉 Tag mtu anayesema hivi
27/04/2026
Kupungua kwa hamu ya tendo si “kukosa mapenzi”
Bali Mara Nyingi ni Mwili Unaomba msaada.
Homoni, stress na uchovu vina mchango mkubwa kwenye kusababisha hali hiyo.
Kwa msaada zaidi DM 0755 982 222
27/04/2026
Fahamu Kuwa Mara nyingi UTI huanza kimya kimya.
Unapoacha kunywa maji ya kutosha ambayo ni safi na Salama huongeza hatari zaidi.
👉 Kunywa maji mengi na epuka kujizuia kukojoa pale unapohisi haja ndogo
Follow Mwanamke Plus+ for more tips
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
255
Opening Hours
| Monday | 08:30 - 17:30 |
| Tuesday | 08:30 - 17:30 |
| Wednesday | 08:30 - 17:30 |
| Thursday | 08:30 - 17:30 |
| Friday | 08:30 - 17:30 |
| Saturday | 09:30 - 04:00 |