Acid solution

Acid solution

Share

Tunatoa huduma ya matibabu na ushauri kwa wahanga wa magonjwa sugu yasiyo ambukizwa
Hasa KUZIDI KWA ACID TUMBONI-GERD, BP, HEPATITIS B, PID, NGIRI,BAWASIRI.

30/07/2026

*TEZI DUME NI NINI? DALILI NA TIBA BILA UPASUAJI (enlarged prostate )*

DR.YAQUUT
0755 868 688

๐Ÿ”— Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la
kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo
na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume
nalo huongezeka ukubwa ambao
unaweza kuwa wa kawaida au
saratani.

*KAZI YA TEZI DUME*
Kutoa majimaji yanayochanganyika na
mbegu za kiume (sperms) kutengeneza
manii (semen).

*DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME*
1.๐Ÿ”— Mkojo uliochanganyikana na damu
2.๐Ÿ”— Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
3.๐Ÿ”— Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
4.๐Ÿ”— Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
5.๐Ÿ”— Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
6.๐Ÿ”— Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

*DALILI ZA MTU ALIYEATHIRIKA KWA MDA MREFU*
1.๐Ÿ”— Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
2.๐Ÿ”— Miguu kuwa dhaifu
3.๐Ÿ”— Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
4.๐Ÿ”— Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
5.๐Ÿ”— Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
6.๐Ÿ”— Tumbo kuja gesi mara kwa mara

*MADHARA YA TEZI DUME KUTANUKA*
1.๐Ÿ”— Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini โ€ฆ โ€ฆ n.k.
2.๐Ÿ”— Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
3.๐Ÿ”— Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
4.๐Ÿ”— Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
5.๐Ÿ”— Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
6.๐Ÿ”— Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume

*MATIBABU YA KUTANUKA KWA TEZI DUME*
Epuka madhara yasababishwayo na tezi dume kwa kutumia dawa ya *PROSTATE POWDER* yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu na kumaliza kabisa kutanuka kwa tezi dume bila kufanya UPASUAJI. Tumia K**a tiba au kinga, Hii ni tiba ya uhakika kabisa na bora kwa afya yako!

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI
Simu +255 755868688
DR.YAQUUT

*PANDEX HERBAL CLINIC*
DAR ES SALAAM, ILALA

17/07/2026

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI,SABABU, DALILI NA TIBA YAKE ASILI

DR.YAQUUTY
0755 868 688

FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

Uvimbe katika mfuko wa kizazi wa mwanamke hujulikana k**a โ€˜uterine myomaโ€™ au fibroid. Uvimbe huu hutokea kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi.Uvimbe huu hutokea katika sehemu mbalimbali juu au ndani ya mji wa uzazi wa mwanamke.

Ni uvimbe ambao hauhusiani na kansa na unaweza kubadilika rangi ukawa wa njano, unaweza kubadilika ukawa k**a maji tu na kurudi tena kuwa mgumu.Uvimbe kwenye kizazi hujulikana pia kwa majina haya kitaalamu: โ€˜Uterine fibroidsโ€™, โ€˜Myomaโ€™ au โ€˜fibromyomaโ€™.

Hujulikana pia k**a โ€˜leiomyomaโ€™ katika lugha ya kidaktari. Wanawake wenye umri kati ya miaka 30 hadi 50 ndiyo wanapatwa kirahisi zaidi na ugonjwa huu.

SABABU ZA MWANAMKE KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu bado hakijulikani wazi, hata hivyo baadhi ya sababu za kutokea huu uvimbe ni pamoja na;

1. ๐Ÿ“ŽKuongezeka sana vichocheo vya progesterone na estrogen kuzidi kiwango mwilini.
2.๐Ÿ“Ž Ujauzito.
3.๐Ÿ“Ž Uzito/ unene kupita kiasi.
4.๐Ÿ“Ž Jenetiki zisizo za kawaida.
5.๐Ÿ“Ž Mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.
6.๐Ÿ“Ž Sababu za kurithi.
7.๐Ÿ“Ž Lishe isiyo sawa/Lishe duni.
8.๐Ÿ“ŽSumu na taka mbalimbali mwilini.

AINA ZA UVIMBE KWENYE KIZAZI
Kuna aina kuu 3 za uvimbe kwenye kizazi k**a ifuatavyo:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)

2.Intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)

3.Subserosal(nje ya kizazi)

WAFUATAO WAPO HATARINI KUPATA UVIMBE KWENYE KIZAZI(UTERINE FIBROID)
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.Unene/uzito kupita kiasi
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):

1.๐Ÿ–‡๏ธKupata damu nyingi wakati wa hedhi.
2. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu makali wakati wa siku za hedhi.
3. ๐Ÿ–‡๏ธKuvimba miguu.
4. Unaweza kuhisi una ujauzito.
5. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa.
6. ๐Ÿ–‡๏ธKuhisi kuvimbiwa.
7. ๐Ÿ–‡๏ธKupata haja ndogo kwa taabu.
8. ๐Ÿ–‡๏ธKutokwa na uchafu ukeni.
9.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata choo kigumu au kufunga choo.
10.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu nyuma ya mgongo.
11. ๐Ÿ–‡๏ธMaumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.
12.๐Ÿ–‡๏ธ Upungufu wa damu.
13.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu ya kichwa.
14.๐Ÿ–‡๏ธ Uzazi wa shida.
15.๐Ÿ–‡๏ธ Kutopata ujauzito.
16.๐Ÿ–‡๏ธ Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.
17.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu ya nyonga.
18.๐Ÿ–‡๏ธ Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).
19.๐Ÿ–‡๏ธ Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo
20.๐Ÿ–‡๏ธ Hedhi zisizokuwa na mpangilio

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUPONA HARAKA UVIMBE KWENYE KIZAZI

1. ๐Ÿ“ŽHakikisha una uzito sawa kila mara kulingana na urefu wako.
2. ๐Ÿ“ŽKula sana mboga za kijani na matunda
3. ๐Ÿ“ŽFanya mazoezi ya viungo kila mara, mara 4 mapaka 5 kwa wiki
4. ๐Ÿ“ŽKunywa maji mengi kila siku lita mbili mpaka lita tatu
5. ๐Ÿ“ŽKula sana vyakula vyenye nyuzi nyuzi (faiba) na punguza vyakula vyenye mafuta
6. ๐Ÿ“ŽUsitumie bidhaa zozote zenye kaffeina (chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote nk), nyama nyekundu na vyakula vya kuchomwa au kupikwa katikati ya mafuta mengi (maandazi, chipsi, nk)
7. ๐Ÿ“ŽAchana kabisa na mawazo mawazo (stress) na hamaki nyingine zozote
8. ๐Ÿ“ŽAcha kuvuta sigara/tumbaku na vilevi vingine vyote hadi hapo utakapopona kabisa

MATIBABU/TIBA ASILI KWA UVIMBE KWENYE KIZAZI.

Tiba asili ndio njia salama na rahisi katika matibabu ya uvimbe kwenye kizazi endapo mgonjwa atafuata ushauri na matumizi sahihihi ya dawa.

0755868688
DR.YAQUUT PANDEX HERBAL CLINIC

14/07/2026
14/07/2026

Pandex Herbal Clinic: TATIZO LA KUZIDI KWA KIWAGO CHA ACID TUMBONI (ACID REFLUX-GERD)

Dr. YAQUUT (0755868688 )
Pandex herbal clinic

Gastroesophageal reflux disease (GERD).
-Ni hali inayotokana na kuzid kwa kiwango cha Acid tumboni (Hydrochloric Acid) ambapo hupelekea kupanda kwa acid kutoka tumboni kuelekea katika koo la Chakula (Oesophagus) na kupelekea kudhurika kwa mfumo wa chakula upande wa juu ambao unahusisha koo la chakula na mdomo pia.

Watu wengi sana wanasumbuliwa na tatzo hili bila wao kujua wanasumbuliwa na tatzo hili na hufikia hatua wengine kudhani wamerogwa kutokana na dalili ya tatzo hili. Tutaangalia dalili ambazo mtu anaweza kugundua kuwa anasumbuliwa na tatzo hili.

DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:โคต๏ธโคต๏ธ

1.๐Ÿ–‡๏ธ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.
2.๐Ÿ–‡๏ธ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.
3.๐Ÿ–‡๏ธ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.
4.๐Ÿ–‡๏ธ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.
5.๐Ÿ–‡๏ธ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.
6.๐Ÿ–‡๏ธ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.๐Ÿ–‡๏ธ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.
8.๐Ÿ–‡๏ธ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.
9.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.
10.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata kikokozi kisichoisha
11.๐Ÿ–‡๏ธ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.
12.๐Ÿ–‡๏ธ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.
13.๐Ÿ–‡๏ธ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).
15.๐Ÿ–‡๏ธ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.
16.๐Ÿ–‡๏ธ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.๐Ÿ–‡๏ธ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.
18.๐Ÿ–‡๏ธ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.
19.๐Ÿ–‡๏ธ Kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
20.๐Ÿ–‡๏ธ Mwili kupata baridi na wakat mwingine kuhisi homa kabisa.
21.๐Ÿ–‡๏ธ Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo.
22.๐Ÿ–‡๏ธKichefuchefu na kutapika.

MAMBO YANAYOWEZA KUCHOCHEA TATIZO LA KUZIDI KWA ACID TUMBONI
1.๐Ÿ–‡๏ธ Uvutaji wa sigara
2.๐Ÿ–‡๏ธ Unywaji wa pombe
3.๐Ÿ–‡๏ธ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine k**a vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.๐Ÿ–‡๏ธ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.๐Ÿ–‡๏ธ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.๐Ÿ–‡ Kutumia baadhi ya Madawa k**a vile ASPIRIN
7.๐Ÿ–‡๏ธ Ngiri ya kifua pia husababisha GERD lakin pia GERD huweza kisababisha Ngiri ya Kifua(Huatal hernia)
8.๐Ÿ–‡๏ธ Kuwa Mjamzito
9.๐Ÿ–‡๏ธ Uzito kupita kiasi (Obesity)
10.๐Ÿ–‡๏ธ Matatzo ya mmeng'enyo wa chakula au kuchewa Kujisaidia pindi uhisipo haja kubwa.

โ–  MATIBABU KWA TIBA ASILI/TIBA MBADALA.

-Njia hii inahusisha matibabu kwa kutumia mimea tiba na imeonekana kuwa na ufanisi mkubwa kutokana na uwezo mkubwa wa mimea mingi katika kupambana na magonjwa mbalimbali kwasababu mimea kutibu kiini cha tatzo kwa kuzifanya kuwa mpya seli za mwili hivyo kuufanya mwili kuwa na uwezo mpya katika kufanyakazi zake.

-Ziko dawa nyingi asilia zenye uwezo mkubwa wa kupambana na matatzo ya ACID nying tumboni,mfano wa dawa hizo ni PEPTICOL POWDER Nk.

Wasiliana nami kwa msaada zaidi wa kitaalamu katika kupambana na tatizo hili na mengine.

PANDEX HERBAL CLINIC
ILALA-DAR ES SALAAM
PANGANI-STREET
0755868688โ€ข

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Pangani Street
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00