daisy_multistore_tz

daisy_multistore_tz

Share

Tunajihusisha na uuzaji na usambazaji wa bidhaa zote za Saloon na urembo, Jumla na Rejareja. Tunapatikana Dar es salaam Mwenge karibu na stand mpya. Karibu

Mikoani yote tunatuma bidhaa na malipo ni baada ya kupokea mzigo wako.

09/07/2026

ION VAPOUR FACIAL STEAMER💨🧖‍♂️🧖‍♀️🧖♨️
🔥Hii ni mahususi kwa ajili ya walee wanaotaka kufungua sehemu ya FACIAL TREATMENT au wanapenda kujifanyia huduma ya FACIAL majumbani kwao.

Unaweza nunua hii ukapiga hela kwa kutengeneza watu Uso zao🙌

📌95,000 tu. Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo.

☎️0699142333

09/07/2026

Mashine bado zipo wapendwa! Make sure unachukua yakwako.

19/06/2026

CURLY IRON (PASI YA MAWIMBI). 35,000 Tu
Hii ni best of the best.

✅inatumika kwenye nywele ndefu na fupi, mawigi na weaving
✅Ina moto mzuri sana.

📍Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo
📍Tunapatikana Dar es salaam, Mwenge karibu na uwanja wa kmc

☎️0699142333

19/06/2026

PROFESSIONAL MINI-CLIPPER 18,000 Tu.
✅Ni Full Metal, Original, ukiishika na kuitumia unaona utofauti na ubora wake wa kipekee.
✅Inakaa na chaji muda mrefu.

📍Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo
📍Tunapatikana Dar es Salaam - mwenge, karibu na uwanja wa kmc
☎️ 0699142333.

05/12/2025

Original Professional Hair Straightener 35,000 Tu!! Kinaitwa KITANA CHUMA,Hii ndio kiboko ya vitana vyoteeee tunavyovijua🔥🔥. Ndiomana kinatumika zaidi kwenye saloon za kisasa.🤩
• Hichi ukiwasha hapohapo unaanza kutumia haina haja ya kusubiri ili kichemke, yani kinashika moto hapohapo kikiwashwa🙌🙌🙌🔥🔥
• Ndio kitana pekee kinachonyoosha nywele aina zote, hata zikiwa fupi kiasi gani, hata zikiwa ndefu kiasi gani, zikiwa na dawa, zisizo na dawa, vipilipili hapa vinapiga saluti🙌.
•Hichi ndio kitana cha kuchana mawigi.
• Hichi ndio kinatumika kwenye kubondi.
Alafu kubwa kuliko, hili ni toleo la kwanzaa yaani ORIGINAL🥇, material yake hayapati kutu miaka nenda rudi.
Rangi yake ni pure gold🌟

📍Mikoani tunatuma, unalipa ukipokea mzigo.
☎️0699142333

05/12/2025

Professional mashine/ clipper 45,000 Tu. Uzuri wa hii ni portable haina mawaya so unaweza kupiga kazi popote bila usumbufu. Imekuja na chaji yake so Inachajishwa na chaji inakaa muda mrefu unaweza kunyoa vichwa zaidi ya 10.
•Haina makelele so haimkwazi mteja
- inanyoa hadi kipara na style zingine zooteee🫶🏼
- ⁠haichemki kabisa hata ikitumika siku nzima🙌🙌
Ni moja ya mashine zinazopendwa sana na vinyozi walio wengi nchini

📍Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo
☎️0699142333

22/11/2025

📌OFFER YA MUDA MFUPI
55,000 badala ya 80,000

📍Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo

☎️0699142333 or 0713780345

22/11/2025

📌OFFER YA MUDA MFUPI
65,000 badala ya 80,000

📍Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo

☎️0699142333 or 0713780345

22/11/2025

🔥🔥OFFER YA MUDA MFUPI🔥🔥Ujanja ni kuwahi
95,000 badala ya 200,0000. NARUDIA TENA NI OFFER YA MUDA MFUPI. Ukikosa au kuchelewa tusilaumiane🥺!

📍Tupo Dar mwenge karibu na stand mpya.
Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo.

☎️0699142333 or 0713780345

14/11/2025

🔥🔥OFFER YA MUDA MFUPI🔥🔥
🌺Ringlight Inch 14 kwa sh 70,000 Tu za kitanzaniaaa🌺💃💃💃

Usitengeneze video au picha bila kutumia Ringlight buanaa🤩Hizi ni zama za kale.
Ujanja ni kupost vitu quality, kwani we hutaki wateja na marafiki wapya kila siku????💸

📍Tupo Dar, Mwenge karibu na uwanja wa Kmc au Stand mpya.

🚚Mikoani tunatuma na unalipa ukipokea mzigo wako

☎️0699142333 or 0713780345

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 22:00
Tuesday 08:00 - 22:00
Wednesday 08:00 - 22:00
Thursday 08:00 - 22:00
Friday 08:00 - 22:00
Saturday 08:00 - 20:00
Sunday 13:00 - 18:00