Kajembe Patrick Chefondoh

Kajembe Patrick Chefondoh

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kajembe Patrick Chefondoh, Health/Beauty, p.o box 10497, Dar es Salaam.

01/05/2026

LEO TUZUNGUMZIE TABIA NA UDHAIFU WA GROUP O

1. _HAWAPENDI KUFOKEWA_

Ukitaka kuharibu mfokee mtu mwenye damu group O k**a ni kazi anaiyacha na anaondoka hataka unamlipa hela nyingi hawezi kukaa atakuachia aondoke zake

K**a ni mfanyakazi wako ongea nae kwa namna ambayo ni ya utaratibu nje ya hapo atakuacha na kazi Yako hatak**a anashida vipi ataondoka

2. _MAAMUZI MAGUMU_

Group O mara zote wanakuwa na maamuzi Magumu hawajari utaumia au utapenda wao hawajari as long as maamuzi yake anaona yeye Yuko sawa Wala hafikirii mara mbili kufanya Maamuzi

Anaweza kukuacha bila taarifa na niwakari na wana hasira wakati mwingine hata wao wenyewe hawawezi jiuzuiya na ukiona umemuuzi mtu wa blood O usiendelee kupiga kelele atakupiga mpe muda na utulie muongee Baadae

3. _HAWAPENDI UONGO_

Hawawezi kusifia uongo hawanaga unafki wa kusifia uongo wakati wanajua ni uongo na ukiona mtu wa group O amekusifia ujue hicho kitu umefanya vizuri mno nje ya hapo hawawezi kusifia uongo

K**a mume/mke wako ni group O usithubutu kumdanganya sababu akijua ulimdanganya hatokusamehe kirahisi

_4. VITU WANAVYOPENDA_

Kumtenganisha blood group O na nyama labda nikifo pekee mara zote wanapenda Sana nyama nje ya hapo hakuna uwezekano wa kuishi bila kula nyama

Blood group O na group B wanapenda Sana mapenzi (S*x) na wote wanajua kuwa siyo uhunui ndivyo walivyo hivyo blood O na B wanapenda tendo la muda mrefu

5. _SIFA ZA DAMU O_part 2

1. Wana Kinga imara Sana huwa hawaumwi mara kwa mara na wakiumwa wanaumwa sana
2. Mara zote Hawapendi kumtegemea mtu sababu wanaamini kwenye uwezo wao
3. Niwepesi kudhurumiwa sababu wanapenda kusaidia watu
4. Niwagumu kuelewa jambo lakini wakielewa wanaelewa kweli kweli
5. Mtu mwenye blood O ni mwepesi kukasirika

6. BLOOD GROUP O_

Sifa nyingine ya mtu mwenye damu group O akifanya Diet huwa anapata matokeo mazuri sana kwa haraka tofauti na magroup mengine ya damu

》Sifa kuu ya hawa O hawakubali kushindwa kirahisi.Yani wewe fanya uwezavyo ila hawakubali ni mpaka ashinde.Chochote kile ni mpaka apate matokeo.

》Kwa hio k**a ni ugomvi unagombana na mtu blood O usimalize nguvu zako utachoka wewe k**a sio O mwenzake utachoka wewe maana O kwanza energy wanayo na mda wote wako tayari k**a swala alivyo sharp.

Itaendelea

30/04/2026

LEO TUNAANZA KUWAZUNGUMZIA BLOOD GROUP O K**A WEWE NI O K**A MIMI BASI TWENDE NA HAYA MAMBO 10 KWA LEO

Huwa umewahi sikia blood Group O wana kiburi sana.Yes ni kweli wala sio uongo lakini unajua sababu ni ipi mpaka wanasemekana kuwa na kiburi?Sababu ni hizi hapa;

1.Wanasimamia wanachoamini hata dunia nzima ikiwageuka hawakubali.

2.Hawapokei ushauri wa mtu yeyote k**a akihamua lake

3.Hawataki msaada toka kwa yeyote kwanza wanajiamini na wamekamilika yani wapo kamili gado.

4.Huwezi mtisha O yani huwezi mtikisa akatikisika

5.Huwezi mpelekesha wewe kaa kule mbali mpe ratiba yake atafanya ila kumpelekesha atakushangaza.

6.Hawogopi kupoteza chochote yani hawaogopi kupoteza akiwa anapambania anachoamini.

7.Wana focus na malengo yao tu mpaka yatimie hata kuwe na distraction za aina gani humtoi kwenye mstari.

8.Uwepo kwa ajili yake usiwepo wala hawajali utajua wewe

9.Yani ni ngumu kubadilisha msimamo wake

10.Wanatumia nguvu kubwa kupata wanachotaka sasa wewe unaweza ona ana kiburi.

Hizo ndio sababu huwa wanakutana nazo watu wanasema huyu ana kiburi.Sasa sidhani k**a hicho ni kiburi kwa upeo wangu lakini.

Itaendelea,...........

21/04/2026

Wewe ni zawadi kubwa kwangu. Naomba maisha yako yawe na mwanga, upendo na matumaini daima.

20/04/2026

Amka tu mwanangu achia Shuka Amna Namna Nyingine,
Si Auna Cha Kurithi, nyumbani kwenye wewe ndo Unaetakiwa Kuanza Kuwa Tajiri wenzako Utajiri Wameukuta Wanatarajia Kurithi Kampuni, Usiwaige we amka Kiume Nenda Ukakaze.
Habari Ya asubuhu Frends

17/04/2026

Wazazi wa sikuhizi hawapigagi watoto kabisa asee
Dogo kapasua chupa ya chai kacheka Cheka kapigwa kikofi kimoja amelia akaachwa
Enzi zetu hii ilikuwa ni Moja ya kesi nzito mnoo kesi ya jinai hii 😂inabidi usionekane maeneo ya nyumban siku nzima😁

15/04/2026

Hutaki kuwasamehe walio kukosea ila kila siku unamuomba Mungu msamaha fungua njia zako kwanza ili Mungu akufungulie Zake✍

12/04/2026

Mwanaume ukiwa huna hela na Ukaingia kwenye Mahusiano Utajifunza vitu 2
Utajifunza Umuhimu wa Mwanaume kuwa na hela.

Utajifunza jinsi Wanawake walivyo wakatili kwa Mwanaume asiekua na hela📌

11/04/2026

Ukishindwa Kumpa Thamani Mtu unaye
Mpenda Basi Usifanye Akose Thamani Kwa
Watu Wanao Mpenda……🚮

10/04/2026

Ni sahihi kumwambia mke wako kila kitu ambacho unafanya na hasa malengo yako ya muda mfupi na muda mrefu..?

09/04/2026

Inawezekana Ukampata Mwanamke Mzuri (Wife Materials) Bar K**a Ambavyo Unaweza Kumpata Mwanamke Mbaya Kanisani.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

P.o Box 10497
Dar Es Salaam
00255